Mkuu nikitaka kurekebisha mlango inanilazimu kutoa taarifa ili nipigwe tozo?..Kama attachment inavyojieleza
Halmashauri nazo zinakuja na tozo zao mbalimbali
View attachment 1930819
Mimi wa kwanza nifundishe tafadhari. Ila nimecheka Sana daahSasa ni wakati wa kujifunza krav maga.. yaan mtu akisog3lea nyumba yako unamvunja shingo
Tozo hizi zipo miaka wewe ndiyo kwanza unazijua! Ipo pia tozo ya kuwasha jenereta. Hebu tusubiri tozo ya kuingiza godoro jipya ndani ya nyumba.Kama attachment inavyojieleza
Halmashauri nazo zinakuja na tozo zao mbalimbali
View attachment 1930819