Tuliambiwa tozo ni kwaajili ya kujenga barabara za vijijini. Vipi barabara zinajengwa kweli?

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,566
Salaam

Tozo za miamala ya simu ni jambo lililoanzishwa na kuzua tafrani miongoni mwa Wananchi wa Tanzania.

Raia wengi walizipinga lakini viongozi wengi wa Chama Tawala walitetea na kuziita ni tozo za kizalendo sababu zimelenga kutumiwa kujenga barabara za vijijini. Soma: Serikali yatangaza Amri ya Bei Elekezi za Sukari Tanzania Bara

Ni muda sasa umepita ikiwa inaelekea miaka mitatu tangu tozo za miamala zianzishwe.

Soma:
Tozo za miamala ni njia ya kufidia pesa zinazokujenga miradi kama Burigi National Park na Ikulu Dodoma?

Nina maswali machache:
Je, lengo la kuletwa kwa tozo linaendelea?

Barabara za vijijini zinatengenezwa kama tulivyoahidiwa?

Ikiwa tozo ulikuwa mpango wa dharura zinaondolewa lini?
 
Salaam

Tozo za miamala ya simu ni jambo lililoanzishwa na kuzua tafrani miongoni mwa Wananchi wa Tanzania.

Raia wengi walizipinga lakini viongozi wengi wa Chama Tawala walitetea na kuziita ni tozo za kizalendo sababu zimelenga kutumiwa kujenga barabara za vijijini. Soma: Serikali yatangaza Amri ya Bei Elekezi za Sukari Tanzania Bara

Ni muda sasa umepita ikiwa inaelekea miaka mitatu tangu tozo za miamala zianzishwe.

Soma: Tozo za miamala ni njia ya kufidia pesa zinazokujenga miradi kama Burigi National Park na Ikulu Dodoma?

Nina maswali machache:
Je, lengo la kuletwa kwa tozo linaendelea?

Barabara za vijijini zinatengenezwa kama tulivyoahidiwa?

Ikiwa tozo ulikuwa mpango wa dharura zinaondolewa lini?
Mlipolalamka Tozo zikafutwa
 
Salaam

Tozo za miamala ya simu ni jambo lililoanzishwa na kuzua tafrani miongoni mwa Wananchi wa Tanzania.

Raia wengi walizipinga lakini viongozi wengi wa Chama Tawala walitetea na kuziita ni tozo za kizalendo sababu zimelenga kutumiwa kujenga barabara za vijijini. Soma: Serikali yatangaza Amri ya Bei Elekezi za Sukari Tanzania Bara

Ni muda sasa umepita ikiwa inaelekea miaka mitatu tangu tozo za miamala zianzishwe.

Soma: Tozo za miamala ni njia ya kufidia pesa zinazokujenga miradi kama Burigi National Park na Ikulu Dodoma?

Nina maswali machache:
Je, lengo la kuletwa kwa tozo linaendelea?

Barabara za vijijini zinatengenezwa kama tulivyoahidiwa?

Ikiwa tozo ulikuwa mpango wa dharura zinaondolewa lini?
Sasa wewe wa mjini utajulia wapi haya mambo na taarifa sahihi hujui Kwa kuzipata?

Au umesikia Kilio Cha Wabunge wa Vijijini wakilalamika?

View: https://www.instagram.com/p/C2sPtlONaGm/?igsh=d25lMGszZzMwYXJh

Make follow up page za manaa kama. Hizo ujue kinachoendelea badala ya page za umbea za Vyama,kina Kigogo na Wazushi wengine.
 
Back
Top Bottom