Tatoo yangu ya mgongoni (unaipenda?)

Tatoo yangu ya mgongoni (unaipenda?)

Mwali

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2011
Posts
7,012
Reaction score
5,613
Jamani mi ile tatoo ya Aminata9 inanitoa roho, sijui wengine mwaonaje
Leo nimeamua kuanza na kadogo, pole pole nitaongeza mgongo wote
Hapa nikiwa milimani city, with my new outfit: naonesha kidogo tu.
Wanaume waliniangalia sana na macho ya tamaa, nikajifanya siwaoni

Day version​
534068_10150665823418790_89817533789_9309137_1460836039_n.jpg




Night version:​

View attachment 51168
 
One of these days nitakuchungulia ili niione live hii..
 
Jamani mi ile tatoo ya Aminata9 inanitoa roho, sijui wengine mwaonaje
Leo nimeamua kuanza na kadogo, pole pole nitaongeza mgongo wote
Hapa nikiwa milimani city, with my new outfit: naonesha kidogo tu.
Wanaume waliniangalia sana na macho ya tamaa, nikajifanya siwaoni
View attachment 51160
kuna shape zingine jmani khaa!
 
ha ha ha ha, Mwali nani kakuambukiza akili hizi?

Utapoteza point sasa hivi.
Haya ndio mambo ya siku hizi. tunaenda na wakati
Kama hivi msimo wa joto, si wakati wa kujitandia tena
Nakwambia watu waliniangalia sana, wanaume wananitamani
wanawake wananikodolea mimacho tu, wanaona wivu. lol
 
Sasa cha kuvaa kikaptula cha mdogo wako? Uliomba ruhusa ama ulimuibia? Mwali wa kucharazwa mboko wewe sasa!
Hiyo ilikua kubwa kidogo, nikashonea mwenyewe mifuko pale mapajani
Haitakiwi kupwaya hii, ikipwaya watu watapiga chabo nikikaa
lazima iwe tight, inabana wowowo sawasawa. umeipenda?
 
Vya kuchunguliana tena? Usisababishe tuvunje mkataba mapema.

Jamani mbona kwenye mkataba hakuna kipengele kinachokataza kuchunguliana? Naomba nitii kiu yangu tafadhali.
 
Shape ya filifili ila anaonekana kajikubali haswaaa. Yupo comfortable
Tena next move ni kuweka tatoo ya papillon begani
Sijui kwa nini ulichagua hili jina katika kipindi hiki
It must be a signe, ngoja tuone kwanza.
 
Jamani mbona kwenye mkataba hakuna kipengele kinachokataza kuchunguliana? Naomba nitii kiu yangu tafadhali.
Basi nichungulie ila nisijue kabisa,
kama ninavo kuchunguliaga bila wewe kua na habari
 
Ambitiois anaharibiwa tukimwona hivi hivi.
looooool, stop being so old fashioned, c'mon!
Kwanza nikuulize habari ya yule mtu.
Do you think he'll like the tatoo? the outfit?
Mchimbe please... 🙂
 
Back
Top Bottom