Tatoo yangu ya mgongoni (unaipenda?)

Tatoo yangu ya mgongoni (unaipenda?)

Basi nichungulie ila nisijue kabisa,
kama ninavo kuchunguliaga bila wewe kua na habari

Kuuuumbeee!!!Ndio maana nasikiaga minyato corridor huwa nadhani ni Doggy kumbe wewe!!!...anyway ladies first is the motto japo haukuomba ruhusa.
 
Kuuuumbeee!!!Ndio maana nasikiaga minyato corridor huwa nadhani ni Doggy kumbe wewe!!!...anyway ladies first is the motto japo haukuomba ruhusa.
I couldn't resist mwenzio. Vipi tatoo lakini, umeipenda?
na nimesha nunua nguo za summer,
zote zimekaa kama hii, more pics to come.
 
Asante. Unadhani deskmate atapenda?
Hehehe! Ataipenda lazima namjua deskmate vizuri huwa anapagawa sana na tatoo lol.


Tena hapo ulipoichora ndio patampagawisha zaidi.. Ngoja nimpigie aje athibitishe maneno yangu.
 
Sasa cha kuvaa kikaptula cha mdogo wako? Uliomba ruhusa ama ulimuibia? Mwali wa kucharazwa mboko wewe sasa!

Ikibidi hiyo micharazo basi nipeni mie idhini niwe wa awali Kumcharaza kwa niaba yenu, niwawakilishe wacharazaji .
 
Mwali nilikuona pale wanapouza junk food kumbe ndo wewe?

Ulegi sasa besti, chupa ya nyagi...hiyo tattoo ni made in where kwa pfunk, au karib na bills au SA?
 
I couldn't resist mwenzio. Vipi tatoo lakini, umeipenda?
na nimesha nunua nguo za summer,
zote zimekaa kama hii, more pics to come.

Yeah!!Tatoo imetulia saaaana mpaka nafikiria kuahirisha kuchungulia mpaka itakapokuwa full on your sexy back.
Pics are not for me..live is the real deal.
 
Hehehe! Ataipenda lazima namjua deskmate vizuri huwa anapagawa sana na tatoo lol.
Tena hapo ulipoichora ndio patampagawisha zaidi.. Ngoja nimpigie aje athibitishe maneno yangu.

Please do, mwambie aje, kuna outfit ingine kiboko nimeandaa kwa outing,
weekend imesha anza hii, hakuna kazi/masomo hadi jumanne. Mwambie aje.

Mwali nilikuona pale wanapouza junk food kumbe ndo wewe?
Ulegi sasa besti, chupa ya nyagi...hiyo tattoo ni made in where kwa pfunk, au karib na bills au SA?
Tatoo nilifanyia kwa mchina fulani town, hapo nilikua naenda shopping tu,
ndio nikaamua kuva ahivo watu waone tatoo, wenye wivu wajinyonge! lol
 
mwali hiyo shorts imekwamia njiani...lol au ni 'fesheni' yenyewe?
 
Hawa ndio waleeeee: Siyataki mabishi haya.
If you are very nice to me I'll let you have a look

Mwali I don't want to have a look.. Ila nataka kujua kama huwa "unarudigi nyuma"...?
 
mwali hiyo shorts imekwamia njiani...lol au ni 'fesheni' yenyewe?
Yaani we acha kabisa, itakuwa imekwamia njiani. Ana figure ya ukweli eeh?

Afu anajipatia kweli kwenye mavazi yanayoendana na figa yake lol.
 
mwali hiyo shorts imekwamia njiani...lol au ni 'fesheni' yenyewe?

Kwa kuuliza tu swali umejitoa katika orodha ya watu wanao jua fashion
Hata King'asti ninaemuamini kwa kujua mambo, leo kachemka. eti ya mdogo wangu, kha!
Sasa mlitaka nivae zile kama za mapedeshee, juu ya kitovu? tatoo ingeonekanaje?
 
Back
Top Bottom