BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
mbona hamueleweki?watu wameshaanza kutumia dose tena mnakuja na habri nyingine.....
Pole pole mkuu na hiyo dozi!..kwani nguvu ulizonazo hazikutoshi? Nadhani hii dozi ni kwa mtu aliyepungukiwa na nguvu za kiume kama sijakosea.
Du!..sometimes kuwa mwanamme ni kazi sana, ukikosa nguvu mtu unajisikiaje?