Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,494
At least matatu (3), dah basi ipo kazi... wastani wa tikiti maji moja ni kama kilo na nusu sasa yakiwa matatu karibia kilo tano hapo...!
Wakulima soko hilo, mshatangaziwa... sasa kazi kwenu.
Hapo ni kutengeneza Juicy ya tikiti ndoo nzima badala ya kunywa maji unajivinjali nayo tu kama ni kweli basi itabidi niongeze shamba langu kule BOKO....wale akina Dr Kifimbo na majimarefu waandike maumivu!