mi nadhani hizi ni mbinu tu za kufanya watu wale matunda..maana mtu mpaka aambiwe na doctor ndio ale matunda.Leo hii akitokea doctor feki akasema machungwa yanaongeza miaka ya kuishi duniani..Baada ya wiki sijui jama tutayaona machungwa barabarani
...Hii ni mupya kabisa. Kwa hiyo unakula hilo tikiti maji muda gani kabla hujaanza kukutana na mamsapu?Kama nia ni kumkomoa demu basi nenda kwenye viagra lakini kama ni kwa ajili ya afya ya uzazi kutumia mara kwa mara juice yake inatosha.
Hii mada inafaa sana watu wanofanya kazi bank wana matatizo ya nguvu za kiume unabishaaa?
ngoja watakuja wenyewe hapa kudhibitisha, kwa vile baadhi yao wamo humu ndani na wanjua wanaingia kazini saa 7am wanatoka saa 3 usiku na extreme concentration......akiwa ametoka chuo akafanya kazi kwa miaka 4 ndio akaoa after 3 yrs akina Chrispin na Masa wanabeba wake zao na kama ni mwanamke anakuwa na sura ya kiume na misuli kbs......
ngoja watakuja wenyewe hapa kudhibitisha, kwa vile baadhi yao wamo humu ndani na wanjua wanaingia kazini saa 7am wanatoka saa 3 usiku na extreme concentration......akiwa ametoka chuo akafanya kazi kwa miaka 4 ndio akaoa after 3 yrs akina Chrispin na Masa wanabeba wake zao na kama ni mwanamke anakuwa na sura ya kiume na misuli kbs......
Asingekuwa anafanya kazi bank huyu angekuwa another LIUMBA! anyway labda yuko customer care sio credit au operationsMkuu hiyo ni general sana, kuna jamaa anafanya kazi Stanbic utadhani huwa anaoga hayo matikiti, ni malaya kupitiliza, kila mwanamke anamtaka yeye sasa hiyo formular yako kwake si itakuwa haisomi?
Nadhani whether yanaongeza ama la ni vizuri tu kuyala mara kwa mara. Itaongeza ata nguvu zingine si lazima za kiume tu
Ndio maana yake sasa mchicha mwiba kama wewe atafanyia nini?nikusukumie namba ya mtu mzima?
I was responding 2 ur comments regarding the sameidadi ni at least matatu (3) kwa siku kwa mtu mmoja. Sio ule vipande njiani Ubungo halafu uanze kufikiri kuwa leo demu wako atakukoma
hicho kikongwe wala hakinipi shida najua kinatafuta pa kufia tu.
Angalia mkuu, hachelewi kuingia hapa mkaanzisha vita, ana machale sana yule.
aje tu ninajua ninachokisema akileta ubishi nitamuanika live hapa, ndio tuanze kuongea.
Lol! Ngoja nisepe sipendi kuwa shahidi
Mpwa nataka nimPM FL atuambie kama tikiti zina chochote cha maana!
Atasepa mpwa, si unajua anajifanyaga mtu wa Jumapili sana.
Hata nikimwambia FL u're the queen and Chrispin is the crown...kindly provide to us some clues.....hahahahahah
Hiyo inaweza kusaidia, hebu mjaribu.