Nyamiyaga
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 757
- 590
Mnakoelekea siko!B
Afadhali lisu si mnafiki alimsema mwalimu hadharani, kuliko wale waliomsaliti mpaka kupelekea kumuua ili wauze rasililmali zetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnakoelekea siko!B
Afadhali lisu si mnafiki alimsema mwalimu hadharani, kuliko wale waliomsaliti mpaka kupelekea kumuua ili wauze rasililmali zetu.
Kwani Lissu anazuia kujenga au kununua haƴo mavitu ambayo serikali inatekeleza?Siungi mono kutandikwa risasi huyu Mbunge wa huko Singida, lakini tatizo lake kubwa ni kukosoa bila kuwa na mbadala ya kile anachokikosoa.
Amejitengenezea maadui kwa kuwatukana, kuwadhalilisha na hata kuwadharau wengine.
Kisiasa watu kama Lissu huitwa reactionaries, watu wanaotegemea wengine waelekeze tunakotakiwa kwenda kiuongozi, na wao wajipatie sifa ya ya kisiasa kwa kukosoa tu na kuponda mafanikio.
Tunaona JPM anasonga mbele kwa staili ambayo si kawaida kwa watanzania, ingalau matokeo chanya tunayaona.
Ndege zimekuja, SGR iko katika ujenzi, mradi wa Umeme wa Stieglers Gorge ndo unaanza kutekelezwa, sasa jiulizeni Lissu angekuwa na mbadala upi?
Tatizo kubwa la Tundu Lissu, hana Road map ya kuaminika.
Sijawahi kmsikia akipongeza mafanikio yoyote.
Ni wazi kuwa hujafanya homework yako juu ya gharama za umeme so far.Kwanza mtoa mada sijawahi kusikia mtu yeyote anapinga maendeleo Kama ujenzi was relieved, ununuzi wa ndege, n.k
Kinachopingwa ama kupigiwa kelele na hata Mimi nawaunga mkono kwa kiasi Fulani Ni utaratibu unaotumika kutekeleza miradi.
Tuanze na ndege: nchi yetu masikini inategemea misaada kufanya miradi mbalimbali achikia mbali kondoms, madawa including ARV tunapewa msaada hivyo tungeanza kupunguza utegemezi wa misaada huku kwenye madawa wakati huo huo tutumie fedha zetu walau tulipie ndege nusu na nusu mkopo. Badala yake tumetumia fedha nyingi kulipia ndege ilihali madawa Ni changamoto.
Pili Stiglers gorge, huu mradi sikuona na Bado sijaona sababu za msingi tumeacha kuzalisha umeme kwa kutumia gas Hadi kwenda kuharibu 1000km za msitu. Wakati ilikua Ni kununua turbines tu za kuzalisha umeme maana gasi ipo kinyerezi na tunalipia Hilo bomba. Kichopingwa sio umeme utakaopatikana Bali gharama zake 7trillion
Mwanafunzi ana uwezo wa kupata asilimia zaidi ya tisini kwa mia ana kila kitu cha kumfanya afanye vizuri Kwa miaka zaidi ya hamsini anapata asilimia tano,Saba havuki zaidi ya hapo bado anasumbuliwa na maadui watatu ujinga,maradhi na umaskini unataka apongezwe Kwa lipi? Au kisa safari hii kapata asilimia Saba????Siungi mono kutandikwa risasi huyu Mbunge wa huko Singida, lakini tatizo lake kubwa ni kukosoa bila kuwa na mbadala ya kile anachokikosoa.
Amejitengenezea maadui kwa kuwatukana, kuwadhalilisha na hata kuwadharau wengine.
Kisiasa watu kama Lissu huitwa reactionaries, watu wanaotegemea wengine waelekeze tunakotakiwa kwenda kiuongozi, na wao wajipatie sifa ya ya kisiasa kwa kukosoa tu na kuponda mafanikio.
Tunaona JPM anasonga mbele kwa staili ambayo si kawaida kwa watanzania, ingalau matokeo chanya tunayaona.
Ndege zimekuja, SGR iko katika ujenzi, mradi wa Umeme wa Stieglers Gorge ndo unaanza kutekelezwa, sasa jiulizeni Lissu angekuwa na mbadala upi?
Tatizo kubwa la Tundu Lissu, hana Road map ya kuaminika.
Sijawahi kmsikia akipongeza mafanikio yoyote.
Mkuu nilikushauri, kama hujafanya homework yako facts will beat you.Mkuu Kuna kitu Bado nawe huelewi pia, baba mwenye nyumba anakiri Kuna ufisadi ulifanywa...... Sasa kwa kuwa yeye yupo Vizuri naamini a better deal could be negotiated.
Lakini turn around time kwa gas Ni ndogo Sana ukilinganisha na hiyo hydro.
Pia Hali ya ukame inatishia viability in the next 20yrs including miaka 3 ya ujenzi.
Lakini pia tutaondolewa kwenye list ya world heritage hivyo vivutio vinakosa sifa muhimu. Ultimately utalii unaweza kupunguza au Kasi ya ukuaji ikapungua.
Yapo mengi when analysing a project angalia pia social, political, environmental impact which could be demaging kuliko economic impact.
Mkuu ni
Mkuu nilikushauri, kama hujafanya homework yako facts will beat you.
Talk of project turn around?
Mradi wa gas ulianza 2013 kwa kujenga bomba la gesi toka Mtwara.
Hadi leo, 5years later hatujakamilisha kupata 390MW za Kinyerezi I&II.
Turn around ya Hydro kule Stiegler ni 3 years.
Amua mwenyewe.
Pili, ukitaka kumsikiliza mzungu ilinakuambie huwezinkitu sababu hii na ile, huo ninuamuzi wako binafsi.
Kwa mawazo kama yako, 3 Gorges Dam ya kutengeneza umeme mwingi sana, 22,500MW, usingetekelezwa.
Wadogo zangu huku skuli ya Kata nilipo soma Wengi wamekula zero... Elimu bure bila vitendea kazi??????.... Hata vile vitabu vya US aid haviji tena... Unataka na mm nishangilie uwanja wandege Chato na bombadiaa???????Siungi mono kutandikwa risasi huyu Mbunge wa huko Singida, lakini tatizo lake kubwa ni kukosoa bila kuwa na mbadala ya kile anachokikosoa.
Amejitengenezea maadui kwa kuwatukana, kuwadhalilisha na hata kuwadharau wengine.
Kisiasa watu kama Lissu huitwa reactionaries, watu wanaotegemea wengine waelekeze tunakotakiwa kwenda kiuongozi, na wao wajipatie sifa ya ya kisiasa kwa kukosoa tu na kuponda mafanikio.
Tunaona JPM anasonga mbele kwa staili ambayo si kawaida kwa watanzania, ingalau matokeo chanya tunayaona.
Ndege zimekuja, SGR iko katika ujenzi, mradi wa Umeme wa Stieglers Gorge ndo unaanza kutekelezwa, sasa jiulizeni Lissu angekuwa na mbadala upi?
Tatizo kubwa la Tundu Lissu, hana Road map ya kuaminika.
Sijawahi kmsikia akipongeza mafanikio yoyote.
Siungi mono kutandikwa risasi huyu Mbunge wa huko Singida, lakini tatizo lake kubwa ni kukosoa bila kuwa na mbadala ya kile anachokikosoa.
Amejitengenezea maadui kwa kuwatukana, kuwadhalilisha na hata kuwadharau wengine.
Kisiasa watu kama Lissu huitwa reactionaries, watu wanaotegemea wengine waelekeze tunakotakiwa kwenda kiuongozi, na wao wajipatie sifa ya ya kisiasa kwa kukosoa tu na kuponda mafanikio.
Tunaona JPM anasonga mbele kwa staili ambayo si kawaida kwa watanzania, ingalau matokeo chanya tunayaona.
Ndege zimekuja, SGR iko katika ujenzi, mradi wa Umeme wa Stieglers Gorge ndo unaanza kutekelezwa, sasa jiulizeni Lissu angekuwa na mbadala upi?
Tatizo kubwa la Tundu Lissu, hana Road map ya kuaminika.
Sijawahi kmsikia akipongeza mafanikio yoyote.
Kiukweli Mkapa was a big dissapointment.Enzi ya Mkapa alipokuwa anaongelea madini niliona kama anapigania maslahi ya watu wengi waliokuwa hawajui yanayoendelea. Awamu ya tano amegeuka. Yeye ndio msemaji na mtetezi wa wale aliosema wanawaibia watanzania.
Najiuliza kama mtanzania, TL anasimama wapi kwenye maslahi mapana ya nchi yetu? As you say, siungi mkono hata kidogo issue ya yeye kupigwa risasi, ingawa namshangaa sana anaitakia nini nchi yetu
Uko jf tangu 2008 lakini ni mweupe kichwani utadhani Ndugai ! hivi ni wapi ambapo humuelewi Lissu , Hayo Makinikia yamekusaidia nini ? labda kwa taarifa yako ni kwamba Lissu anachopigania ni utawala wa Sheria , mmeleta ubabe kwenye madini imewasaidia kitu gani zaidi ya kukimbiza wawekezaji ? noah ziko wapi , ile ya good faith iko wapi ? mnaharibu kila mahali sasa mmeingia kwenye kilimo , ngoja tuone mwisho wenu .Enzi ya Mkapa alipokuwa anaongelea madini niliona kama anapigania maslahi ya watu wengi waliokuwa hawajui yanayoendelea. Awamu ya tano amegeuka. Yeye ndio msemaji na mtetezi wa wale aliosema wanawaibia watanzania.
Najiuliza kama mtanzania, TL anasimama wapi kwenye maslahi mapana ya nchi yetu? As you say, siungi mkono hata kidogo issue ya yeye kupigwa risasi, ingawa namshangaa sana anaitakia nini nchi yetu
Jihurumie mwenyewe zaidi maana TL anaweka kumbukumbu vizuri dunia ielewe, ni haki yake, msiweweseke, ninyi mlishatimiza mapenzi yenu ya kutaka kukatiza maisha yake, mwacheni aandike historia kwa maneno badala ya risasi kama nyie!Hasira zake sasa anaeneza dunia nzima, tumhurumie tu.
Siungi mono kutandikwa risasi huyu Mbunge wa huko Singida, lakini tatizo lake kubwa ni kukosoa bila kuwa na mbadala ya kile anachokikosoa.
Amejitengenezea maadui kwa kuwatukana, kuwadhalilisha na hata kuwadharau wengine.
Kisiasa watu kama Lissu huitwa reactionaries, watu wanaotegemea wengine waelekeze tunakotakiwa kwenda kiuongozi, na wao wajipatie sifa ya ya kisiasa kwa kukosoa tu na kuponda mafanikio.
Tunaona JPM anasonga mbele kwa staili ambayo si kawaida kwa watanzania, ingalau matokeo chanya tunayaona.
Ndege zimekuja, SGR iko katika ujenzi, mradi wa Umeme wa Stieglers Gorge ndo unaanza kutekelezwa, sasa jiulizeni Lissu angekuwa na mbadala upi?
Tatizo kubwa la Tundu Lissu, hana Road map ya kuaminika.
Sijawahi kmsikia akipongeza mafanikio yoyote.
Mbona wachekesha mkuu.Bro kumbe wewe ni kiazi namna hii? Kwa hiyo kwako roadmap ni kuunga mkono na kupongeza? Na unapongeza tuu wimbo wa stigila? Wee kiazi aisee