Lighton
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 881
- 1,636
Tatizo lina miezi mitano sasa.Nitakuhoji mambo kadhaa, univumilie.
Tatizo limeanza lini?
Muda mrefu sio muda maalumu, nitajie miezi kadhaa au miaka kadhaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lina miezi mitano sasa.Nitakuhoji mambo kadhaa, univumilie.
Tatizo limeanza lini?
Muda mrefu sio muda maalumu, nitajie miezi kadhaa au miaka kadhaa.
Kabla ya hapo, ulikuwa unaishi wilaya unayoishi sasa?
Ndio naishi wilaya hii hii since 2002Kabla ya hapo, ulikuwa unaishi wilaya unayoishi sasa?
Umewahi kutumia aina yeyote ya kilevi(usinitajie hicho kilevi) na kuamua kubadilisha au kuacha kutumia ghafla?
Ndiyoo nilishawah kutumia kilevi na ilikuwa ni kama mara tatu tokea nizaliwe tena katika nyakati tofauti. Nakumbuka mara ya mwisho ni mwaka jana mwezi wa 10 sijatumia tena mpaka sasa hivi.Umewahi kutumia aina yeyote ya kilevi(usinitajie hicho kilevi) na kuamua kubadilisha au kuacha kutumia ghafla?
Nashukuru nitalifanyia kazi.Kwa experience niliyonayo Mimi kwenye sekta ya afya.........nnaweza nikasema kuwa pengine una allergic reaction na kitu Fulani...
Kinaweza kikawa ni chakula, Hali ya hewa au pia dawa ulizokuwa ukitumia.
Jaribu kukaa chini kujitathmini ni Nini ulikifanya katika hivyo nilivyoorodhesha kabla ya kilitokea Hali ulivyokuwa nayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante. Ni mjamzito kwa sasa au umejifungua hivi karibuni?Ndiyoo nilishawah kutumia kilevi na ilikuwa ni kama mara tatu tokea nizaliwe tena katika nyakati tofaut. Nakumbuka mara ya mwisho ni mwaka jana mwezi wa 10 cjatumia tena mpaka sasa hv.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nooo mimi jinsia ya kiume mkuu.Asante. Ni mjamzito kwa sasa au umejifungua hivi karibuni?
Samahani sana.
Kwa sasa nipo nyumbani mara nyingi nava mtndio tu au kanga na ndo hali imechachamaa.unavaa nguo za kubana sana na za mpira hivyo mwili unakosa hewa unafanya uwashwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ngoja nifatilie.ila sio mwili mzimaInaelekea kuna nguo za ndani unazovaa zinakuletea hiyo shida, hebu jaribu kuzifanyia uchunguzi aseee.....mara nyingi ni nguo za mtumba au zinatengenezwa na material flani inayokuletea skin reaction.
Sijaelewa
pole sanaKwa sasa nipo nyumbani mara nyingi nava mtndio tu au kanga na ndo hali imechachamaa.
Mwili unahaibika