Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,387
- 3,575
Siku kumi? Mheshimiwa waziri stop nonsense!😲😲
Huyu meneja atakua amefanya njama za ku hack account ya TANESCO ili fedha za LUKU ziingie kwake na genge lake ndio maana wamezima mtamboIla why siku kumi .. View attachment 1790797
Acha mawaziri wafanye kazi zao,hio sio kazi ya raisHivi mama Samia miaka yako yote mitano ya kukaa chini ya JPM hukujifunza lolote? Pale siyo pahala pa kupendwa na kila mtu, usicheke na uzembe.
Hapo Waziri amependelea. Anayetakiwa kusimama ni DG sio hivyo vidagaa. Anamlinda DG kwa lipi?Kuna wakati serikali hutafuta hasara sijui Kwa faida ya Nani,
Serikali isitujaribu ktk huduma hii mhimu,
Huu ndio ushauri ambao mama anatakiwa kuufata.Hivi mama Samia miaka yako yote mitano ya kukaa chini ya JPM hukujifunza lolote? Pale siyo pahala pa kupendwa na kila mtu, usicheke na uzembe.
Naona wewe unapeta siyoKwanini wasielezee ndani ya masaa matatu? Siku kumi ni kuwapa mwanya kupanga mengi ya kudanganya tu..
TEHAMA ni papo papo.. hakuna ya masiku
Poleni msio na umeme majumbani kwenu.
Kazi iendelee..
Ingekua bora aturudishie huduma baadae mengine kuwafukuza kazi yafuatilieWaziri amemsimamisha kazi kwa siku kumi Meneja wa Tehama na Huduma za Biashara wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) Lonus Feruzi na wasaidizi wake Frank Mushi na Idda Njau.
Wamesimamishwa kazi kuanzia leo na Waziri wa nishati ndugu Kalemani, ambaye pia amemwagiza Mkurugenzi wa Shirika hilo Mwinuka kuhakikisha huduma hii inarudi haraka baada ya muda mfupi.
Mama hataki kuwaingilia katika kazi zao. Anawataka wenyewe wafanyekazi. Ngoja tuwaone!Hivi mama Samia miaka yako yote mitano ya kukaa chini ya JPM hukujifunza lolote? Pale siyo pahala pa kupendwa na kila mtu, usicheke na uzembe.