MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
Poleni sana wafiwa.
nafaham hili kupitia mwalim wake, from dat day anaanza kuumwa hadi mauti ni huzuni tupu. Naskia aling'atwa na mbwa ndio chanzo. Mungu awasaidie.Kumbe unamjua huyo mtoto aliefariki!
Kumbe unamjua huyo mtoto aliefariki!
nafaham hili kupitia mwalim wake, from dat day anaanza kuumwa hadi mauti ni huzuni tupu. Naskia aling'atwa na mbwa ndio chanzo. Mungu awasaidie.
poleni sana mtoto ANAUMA
Ahhh acha kabisa. I can't even imagine mama na baba yake wanavyojisikia right now. Inauma sana kuona watoto wadogo still innocent, hawajayajua maisha hata dhambi hawajazijua vizuri wanafariki. Sema ndio hivyo hatuwezi kugombana na maamuzi ya Mungu. Only he knows better.
RIP kadogo kangu...amani itawale nafsi yako huko ulipo.