Mchezaji wa zamani wa Simba SC na Pamba SC afariki dunia

Boran Jakutay

Senior Member
Apr 8, 2023
110
255
MOROGORO: Kocha na mchezaji wa zamani wa Pamba SC, Simba SC na Taifa Stars, Amri Ibrahim amekutwa amefariki jioni ya jana Jumamosi Aprili 08, 2023 baada ya majirani kuona hajatoka nje kwa muda mrefu, wakalazimika kuita mwenyekiti wa mtaa na kubaini kuwa amefariki.

Baadaye polisi walifika na kuchukua mwili na kuupeleka mortuary na kufanya taratibu za ndugu kwa ajili ya maziko.

Kwa bahati mbaya alikuwa akiishi peke yake maeneo ya jirani na kituo cha Polisi cha Sabasaba. Hapa Morogoro au Foreign Pub.

Amri Ibrahim ni mmoja kati ya viungo washambuliaji bora waliowahi kutokea hapa Tanzania.

Ni mipango ya Mungu mwenzetu amemaliza majukumu yake hapa duniani nasi tuko nyuma yake. Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi.

Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa jina lake Lihimidiwe Apumzike kwa Amani.

Tuseme Innalilah waina ilaih rajiun.

IMG-20230409-WA0012.jpg
 
Wachezaji wa zamani wanamsongo sana na mawazo, na sio kwamba hawakupata hela sema hawakuweza kuinvest zama hizo elimi hii ya uwekezaji haikuwepo. Nenda pale bandarini gate namba 5 utawakuta wamejazana. Wengine ndio wamekuwa waganga wa kienyeji akina SAID SUED SCADI. Maisha ya mpira wa miguu ni mafupi sana tena sana.
 
Wachezaji wa zamani wanamsongo sana na mawazo, na sio kwamba hawakupata hela sema hawakuweza kuinvest zama hizo elimi hii ya uwekezaji haikuwepo. Nenda pale bandarini gate namba 5 utawakuta wamejazana. Wengine ndio wamekuwa waganga wa kienyeji akina SAID SUED SCADI. Maisha ya mpira wa miguu ni mafupi sana tena sana.
said sued scad amekuwa popoma!?
 
MOROGORO: Kocha na mchezaji wa zamani wa Pamba SC, Simba SC na Taifa Stars, Amri Ibrahim amekutwa amefariki jioni ya jana Jumamosi Aprili 08, 2023 baada ya majirani kuona hajatoka nje kwa muda mrefu, wakalazimika kuita mwenyekiti wa mtaa na kubaini kuwa amefariki.

Baadaye polisi walifika na kuchukua mwili na kuupeleka mortuary na kufanya taratibu za ndugu kwa ajili ya maziko.

Kwa bahati mbaya alikuwa akiishi peke yake maeneo ya jirani na kituo cha Polisi cha Sabasaba. Hapa Morogoro au Foreign Pub.

Amri Ibrahim ni mmoja kati ya viungo washambuliaji bora waliowahi kutokea hapa Tanzania.

Ni mipango ya Mungu mwenzetu amemaliza majukumu yake hapa duniani nasi tuko nyuma yake. Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi.

Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa jina lake Lihimidiwe Apumzike kwa Amani.

Tuseme Innalilah waina ilaih rajiun.


Maisha ya kuishi kisela na kukataa ndoa yana mwisho unaofanana na huu.... Msikilizeni Heriel yeye kaoa....

Kizazi cha vijana wa hovyo wanaokataa ndoa wakati ni wazinzi. Waasherati wa kutupa.
 
MOROGORO: Kocha na mchezaji wa zamani wa Pamba SC, Simba SC na Taifa Stars, Amri Ibrahim amekutwa amefariki jioni ya jana Jumamosi Aprili 08, 2023 baada ya majirani kuona hajatoka nje kwa muda mrefu, wakalazimika kuita mwenyekiti wa mtaa na kubaini kuwa amefariki.

Baadaye polisi walifika na kuchukua mwili na kuupeleka mortuary na kufanya taratibu za ndugu kwa ajili ya maziko.

Kwa bahati mbaya alikuwa akiishi peke yake maeneo ya jirani na kituo cha Polisi cha Sabasaba. Hapa Morogoro au Foreign Pub.

Amri Ibrahim ni mmoja kati ya viungo washambuliaji bora waliowahi kutokea hapa Tanzania.

Ni mipango ya Mungu mwenzetu amemaliza majukumu yake hapa duniani nasi tuko nyuma yake. Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi.

Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa jina lake Lihimidiwe Apumzike kwa Amani.

Tuseme Innalilah waina ilaih rajiun.

Apumzike mahali panapostahili. OKW BOBAN SUNZU, na mashabiki wenzako wa simba mje mtoe pole zanu hapa. Mchezaji wenu wa zamani amefariki. Hivyo siyo vizuri mkipita kimya kimya.
 
MHRIP, inasikitisha mno kizazi hiki kinatangulia mbele ya haki kwenye mazingira magumu kama haya,tuelewe Era yao ilikua ni pure talent za kuburudisha na kupigania jersey, hii ndio TP Lindanda ya akina Masatu, Marsha, Ntezi, Fumo ....
 
MOROGORO: Kocha na mchezaji wa zamani wa Pamba SC, Simba SC na Taifa Stars, Amri Ibrahim amekutwa amefariki jioni ya jana Jumamosi Aprili 08, 2023 baada ya majirani kuona hajatoka nje kwa muda mrefu, wakalazimika kuita mwenyekiti wa mtaa na kubaini kuwa amefariki.

Baadaye polisi walifika na kuchukua mwili na kuupeleka mortuary na kufanya taratibu za ndugu kwa ajili ya maziko.

Kwa bahati mbaya alikuwa akiishi peke yake maeneo ya jirani na kituo cha Polisi cha Sabasaba. Hapa Morogoro au Foreign Pub.

Amri Ibrahim ni mmoja kati ya viungo washambuliaji bora waliowahi kutokea hapa Tanzania.

Ni mipango ya Mungu mwenzetu amemaliza majukumu yake hapa duniani nasi tuko nyuma yake. Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi.

Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa jina lake Lihimidiwe Apumzike kwa Amani.

Tuseme Innalilah waina ilaih rajiun.

Dah Mungu amlaze mahala pema peponi aisee,alipanga kwenye nyumba ya mzee wangu pale Sabasaba Morogoro alikuwa na mke mzuri sana yaani,majuzi hapa katika story story na mzee nikamtaja kama ni marehemu mzee akanisahihisha na kuniambia jamaa sio marehemu..Nimeshtuka sana nilivyoona taarifa hii na nikiri ndio naiona taarifa yake ya kifo humu Jf
 
Maisha ya kuishi kisela na kukataa ndoa yana mwisho unaofanana na huu.... Msikilizeni Heriel yeye kaoa....

Kizazi cha vijana wa hovyo wanaokataa ndoa wakati ni wazinzi. Waasherati wa kutupa.
Inashangaza kuishi peke yake kwa umri huo
 
Maisha ya kuishi kisela na kukataa ndoa yana mwisho unaofanana na huu.... Msikilizeni Heriel yeye kaoa....

Kizazi cha vijana wa hovyo wanaokataa ndoa wakati ni wazinzi. Waasherati wa kutupa.
Huyu mzee alioa alikuwa na mke chombo sana,yaan yule Uwoya unayemuona alifanana kila kitu na Mke wa mwalimu Ibrahim bahati mbaya Mungu alimchukua kwa lile gonjwa letu la tangu miaka ya 80..
 
Wachezaji wa zamani wanamsongo sana na mawazo, na sio kwamba hawakupata hela sema hawakuweza kuinvest zama hizo elimi hii ya uwekezaji haikuwepo. Nenda pale bandarini gate namba 5 utawakuta wamejazana. Wengine ndio wamekuwa waganga wa kienyeji akina SAID SUED SCADI. Maisha ya mpira wa miguu ni mafupi sana tena sana.
said swedi kuna taarifa niliona ni kamisaa wa game moja ya ligi kuu......
 
Dah Mungu amlaze mahala pema peponi aisee,alipanga kwenye nyumba ya mzee wangu pale Sabasaba Morogoro alikuwa na mke mzuri sana yaani,majuzi hapa katika story story na mzee nikamtaja kama ni marehemu mzee akanisahihisha na kuniambia jamaa sio marehemu..Nimeshtuka sana nilivyoona taarifa hii na nikiri ndio naiona taarifa yake ya kifo humu Jf
ina maana mke kamkimbia au?
 
Maisha ya kuishi kisela na kukataa ndoa yana mwisho unaofanana na huu.... Msikilizeni Heriel yeye kaoa....

Kizazi cha vijana wa hovyo wanaokataa ndoa wakati ni wazinzi. Waasherati wa kutupa.
Ukioa ndio haufi?siku yako ikifika ataukiwa askofu utakufa tu,KATAA NDOA,NI UTAPELI
 
said swedi kuna taarifa niliona ni kamisaa wa game moja ya ligi kuu......
Mcheza wa mechi mbili tu aliifunga Simba mara mbili akapandisha mabega, China akamshughulikia kwa kumpiga zengwe akaja Milambo ya Tabora akatembeza sana utupu wake kwa vijidada vya Tabora, tukawa tunapishana nae anaendesha Baiskeli tu kitaaa.
 
Maisha ya kuishi kisela na kukataa ndoa yana mwisho unaofanana na huu.... Msikilizeni Heriel yeye kaoa....

Kizazi cha vijana wa hovyo wanaokataa ndoa wakati ni wazinzi. Waasherati wa kutupa.
japo sikatai ndoa ila sidhani kukata ndoa na kuishi pekeyako kuna uhusiano
 
Back
Top Bottom