Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Nasikitika kuwataarifu kwamba mwanajukwaa mwenzetu na baba kipenzi Mtoboasiri amefiwa na mwanae mpenzi Samson, aliyeitwa na Bwana Jumatano usiku akiwa Aga Khan hospital Nairobi. Maziko ni Jumamosi hii Njiro ila msiba upo AICC Kijenge jirani na Impala hotel.
Cc Kongosho Preta PakaJimmy Tized Katavi Blaki Womani Arushaone Mzee wa Rula sweetlady Filipo na wengine wote walioko pande za Arusha kama mnaweza unganeni na ndugu yetu Mtoboasiri mtuwakilishe na wengine tunaotamani kuhudhuria ila hatuwezi.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa, hatuna budi kumshukuru kwa kila jambo. Pole sana Mtoboasiri na familia yote kwa ujumla. Mungu awape nguvu muweze kupita kipindi hichi kigumu.
Stay strong.
Cc Kongosho Preta PakaJimmy Tized Katavi Blaki Womani Arushaone Mzee wa Rula sweetlady Filipo na wengine wote walioko pande za Arusha kama mnaweza unganeni na ndugu yetu Mtoboasiri mtuwakilishe na wengine tunaotamani kuhudhuria ila hatuwezi.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa, hatuna budi kumshukuru kwa kila jambo. Pole sana Mtoboasiri na familia yote kwa ujumla. Mungu awape nguvu muweze kupita kipindi hichi kigumu.
Stay strong.