MAWEED
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 3,270
- 10,959
Salaam,
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Leonard Mtega amefariki dunia leo.
Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Innalillah wainna ilayhi rajiuun.
===
Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Leonard Mtega amefariki dunia leo.
Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Innalillah wainna ilayhi rajiuun.
===
Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.