TANZIA: Mtambuzi Apata Msiba

TANZIA: Mtambuzi Apata Msiba

Kaka mkubwa Mtambuzi pole kwa msiba, nawaombea Mungu awape faraja ya kweli.
 
Last edited by a moderator:
Someone's mamamkwe = someone's biological mother . . duh!!
Poleni sana ndugu zangu.

May her soul Rest In Peace.
 
pole nyingi sana Mungu wetu mwema awe faraja ya kweli kwako na familia nzima kwa ujumla wake
 
Pole sana mdau, tufikishie na pole zetu kwa shemeji Mungu amtie nguvu.
 
Pole sana Mtambuzi, wafikishie pole familia yako na wote walioguswa na msiba.
 
Pole sana Mkuu Mtambuzi. Mungu awapeni nguvu na faraja kipindi hiki kigumu kwenu na ailaze roho ya mzaa chema mahali pema peponi~AMEN.
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi,
My heartfelt condolences go out to you, your lovely wife who lost her lovely mom and the rest of family.
Tupo pamoja.
RIP- Mama
 
Pumziko la Milele umpe ee Bwana, Na mwanga wa Milele umwaangazie, apumzike kwa amani...

"Bwana alitoa, na Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe. Amina"

R.I.P mama yetu.

"mkuu Mtambuzi' Mungu Awapeni nguvu ktk kipindi hiki kigumu"
TUNAOMBA; TAFADHARI KAMA KUNA JINSI YA KUTOA RAMBIRAMBI, AMBAO TUKO MBALI NA ARUSHA, TUJUZENI...
 
Pole sana mkuu Mtambuzi na mama Ngina kwa msiba huu mzito. Mungu awape nguvu kipindi hiki kigumu.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana familia ya Mtambuzi kwa kuondokea na mama mzaa chema. Mungu Amlaze Mahala pema peponi Amina.
 
Back
Top Bottom