Borat69
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,522
- 1,761
Pole sana Mkuu Mtambuzi na familia nzima. Nakumbuka tulikuwa na mjadala mzito sana hapa jamvini wakati mama alipokuwa amelazwa Muhimbili. Mungu ni mwema sana na kazi yake huwa haina makosa. Najua kuna nafasi ya malaika Mlinzi ilikuwa wazi na Mungu akamteua Mama yetu mpendwa kuziba Hilo pengo Peponi.
Mungu awaongoze katika kipindi hiki cha majaribu na awatie faraja na Roho ya Imani. R.I.P Mama.
Poti Maranya Asante sana kwa taarifa.
Mungu awaongoze katika kipindi hiki cha majaribu na awatie faraja na Roho ya Imani. R.I.P Mama.
Poti Maranya Asante sana kwa taarifa.