jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Nimepita magomeni mapipa nyuma ya msikiti wa mchangani, rais wa Tanzania yu-katika hali ya majonzi ya kufiwa na mtoto wa dada yake, sifahamu marehemu aliitwa nani.
Mwenye taarifa za kina atujuze.
POLE RAIS WETU, MUNGU AKUPE MOYO WA SUBIRA KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU CHA MSIBA.
RIP MAREHEM
Mwenye taarifa za kina atujuze.
POLE RAIS WETU, MUNGU AKUPE MOYO WA SUBIRA KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU CHA MSIBA.
RIP MAREHEM