analysti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 731
- 615
you are just naive, wale ni walevi wa gongo tu. Acha kudanganya
wanakwenda kazini kusoma magezeti tu! They are not aware of what is really going on.
you are just naive, wale ni walevi wa gongo tu. Acha kudanganya
Duuh, hii kali.you are just naive, wale ni walevi wa gongo tu. Acha kudanganya
Halafu kazi yao siku hizi imerahisishwa sana. Ukiweza kupiga domo, hata kama ni umbeya you become fit for the job.wanakwenda kazini kusoma magezeti tu! They are not aware of what is really going on.
Duuh, hii kali.
There you go!Nadhani tutakapokua na rais tutajadili hili(kidding)
Nakubaliana na wewe Kiranga nchi iko kwenye AUTOPILOT
Ni kweli especially kwenye kazi hizi ambazo watu wanafanya kwa viapo.Ukisaliti kiapo chako utabebeshwa msalaba mzitoNaona maswali mengine mnayaleta humu Jamvini hakuna wa kuyajibu....
wanakwenda kazini kusoma magezeti tu! They are not aware of what is really going on.
wanakwenda kazini kusoma magezeti tu! They are not aware of what is really going on.
bongo kazi katika nyanja hiyo wanapeana kwa kujuana na hawaangalii taaluma! wanaangalia sometime uwezo wa mtu binafsi!Kenya usalama wa taifa wao unapelekwa kisomi zaidi. Niliona tangazo la kazi ya usalama wa taifa kenya KWENYE GAZETI.
bongo kazi katika nyanja hiyo wanapeana kwa kujuana na hawaangalii taaluma! wanaangalia sometime uwezo wa mtu binafsi!
...duh? haya bana. Ndio u -'undercover' wenyewe huo 😀
Serikali waweke mambo wazi wa kuapply...binafsi nimeshuhudia tv's na magari na bidhaa kadhalika zinashushwa kwa mtumbwi kwenye beach fulani!.!