Kapinga
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 727
- 13
...jukumu lako kama raia ulitakiwa kuripoti hilo haraka iwezekanavyo wahusika wachukuliwe hatua, informers pia wapo kwenye 'payroll'.
Kama Jerry Muro anavyo ripoti ripoti!! No thank you...unampata yule kijana aliyefichua goldenberg scandal kenya na yaliyo mkuta... Tanzania kama unataka kufichua fichua make sure unabillion kadhaa ka za mengi za kujibizana na serikali wengine bado tunazikusanya kwa sasa sadly!!