Nzokanhyilu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2007
- 1,078
- 93
Mimi namchagua Lydia Ngosha, kwasababu anajua kushika mitambo vizuri studio. Bila yeye huyo MKJJ asingeweza chochote. Lydia Ngosha, nadhani ni point 5 wa kisukuma na kihaya au kinyakyusa....Lydia naomba barua pepe, simu na anwani nitume zawadi za x-mas.
Mwanzoni nilimaindi (harakati za) Mwafrika Wa Kike, maana alikuwa gado kama Winnie Mandela. Ila nimeona kapitiliza kawa gangari kama Zay B, yaani mkakamavu sana kuzidi hata mau mau. Sasa sijui nayeye kahitimu mazoezi ya ukomandoo kule Cuba (alikopitia MKJJ)? Nina wasiwasi huyu hata u-Beijing kapitiliza. Ila Mwafirika wa Kike una siku 10 kufahamu yule msela yuko wapi USA, halafu uchukue title yako, cos you know what to do after that. Hapo nakuaminia. Hautangusha watanzania.
Zitto, Dr Slaa, aah hao wamefanya kazi wanayotakiwa kufanya, hawahitaji sifa. Tena bado hawajaifanya vizuri. Ila pole tu kwa Zitto kupewa forced-sick-note na bunge.
Mwanzoni nilimaindi (harakati za) Mwafrika Wa Kike, maana alikuwa gado kama Winnie Mandela. Ila nimeona kapitiliza kawa gangari kama Zay B, yaani mkakamavu sana kuzidi hata mau mau. Sasa sijui nayeye kahitimu mazoezi ya ukomandoo kule Cuba (alikopitia MKJJ)? Nina wasiwasi huyu hata u-Beijing kapitiliza. Ila Mwafirika wa Kike una siku 10 kufahamu yule msela yuko wapi USA, halafu uchukue title yako, cos you know what to do after that. Hapo nakuaminia. Hautangusha watanzania.
Zitto, Dr Slaa, aah hao wamefanya kazi wanayotakiwa kufanya, hawahitaji sifa. Tena bado hawajaifanya vizuri. Ila pole tu kwa Zitto kupewa forced-sick-note na bunge.