Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,593
Totally fair, imesound kama worse, worser and worst ya Keith Obermans' COUNTDOWN!................kumbe hili ndio jina lako lingine eeenh!!!?
Umemstukia na wewe eeeh....?
Totally fair, imesound kama worse, worser and worst ya Keith Obermans' COUNTDOWN!................kumbe hili ndio jina lako lingine eeenh!!!?
Totally fair, imesound kama worse, worser and worst ya Keith Obermans' COUNTDOWN!................kumbe hili ndio jina lako lingine eeenh!!!?
Who you think diservs to be Tanzania 2007 person of the year
You name any one, and explain why you think he/she diserv to be 2007 person of the year?
Nadhani nawapendekeze our own heroes, nashindwa kuamua kati ya Mwanakijiji (aka [I]"Kijana Mkakamavu"[/I]) na Invisible (aka "Robot")
hiyo shortlisted kwanza imepatikana kwa vigezo gani? We ungeacha uwanja wazi tukachagua wenyewe. Unatuwekea multiple choise kwani sisi mazuzu? Sasa kujibu swali lako, the Person of the Year award is shared by God and Satan. They had a great duel this year with many of God's followers trying out Satanic stuff (kusema uongo, kuiba, kutia/kutiwa nje ya ndoa, na kuweka vinyongo na visasi). Hata hao hapo kwenye oroza yake wamerubuniwa na Shetani mwaka huu in one way or another.
Daudi Balali akiwa Gavana wa Benki uchumi uliimarika na inflation ikashuka from 20+ to single digit 4-6....
Need I say more?
Ibn Batuta
Mzee umenikumbusha mbali sana.. mambo ya Timbuktu na Mansa Kankan Musa.. or something.. Mwalimu wangu wa Jiographia alikuwa anapenda kulitamka hilo jina utadhani Jacob Tesha alivyokuwa anatamka Wagudugu! au alipotamka "Dodoma"
John Okello, Eastern Africa Che Guevera, Zanzibar and Pemba Field Marshall.......where abouts unknown since 1971!!.
Hey man....do you think we'll go 16-0?
yeah inawezekana, maana nimeona makala moja jana kwenye METRO(one of the city's two free daily newspapers), kwamba wanakwenda for 16-0 na hawatafanya makosa kama ya Indiana mwaka juzi.......meaning kwamba hawapumzishi wachezaji wala nini, ni kanyaga twende moja kama jahanamu. Jamaa nane wanakwenda kwenye pro bowl in Hawaii, kwa mara ya kwanza Tom Brady ana-start na mzee mzima Peyton Manning anakaa bench!!!.
Vipi uliangalia game na Jets??kuna kipindi ili simama, maana "snowman" alikuwa kakasirika!!!! LOL.