Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 61,573
- 74,396
Safi sana kwa wakuu wote mliotuletea
picha nzuri zenye mvuto hasa zikitukumbusha
kipindi hicho Nchi ilikuwaje?
Japo picha zote na miaka uliyoweka nilikuwa
sijazaliwa lakini nimejifunza kitu kwamba
enzi hizo kulikuwa hakuna ubaguzi wa
wenye nacho na wasio kuwa nacho.
Nimeangalia hapo hasa hayo magari sijui
yalikuwa ya aina yake.
picha nzuri zenye mvuto hasa zikitukumbusha
kipindi hicho Nchi ilikuwaje?
Japo picha zote na miaka uliyoweka nilikuwa
sijazaliwa lakini nimejifunza kitu kwamba
enzi hizo kulikuwa hakuna ubaguzi wa
wenye nacho na wasio kuwa nacho.
Nimeangalia hapo hasa hayo magari sijui
yalikuwa ya aina yake.