KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 93
wakitaka niamini kweli, foremost wamfuate lowassa ! then wazee wa vyama mbalimbali maana nao wamo !
Nyumba ni kielelezo cha maendeleo bora hao wanaojenga hapa nchini kuliko wale wanaojenga ughaibuni.
Na pia wahindi wachunguzwe ni kwa nini hawajengi nyumba hapa nchini ?wao wakishachukua wanaenda kujenga kwao.
sikubaliani na hii ya kuchunguza watu kwa sababu wanamajumba makubwa au kwa sababu mtu anaendesha Range Rover Vogue Dar
Hiii ni witch hunt na sidhani kama matokeo yake yatakuwa mazuri. Hawa jamaa kazi yao ni kuchunguza wakipata ushahidi wenye kuonyesha wazi kuwa kuna rushwa ililika then wanapeleka majalada ya prosecutor wa serikali. Sasa mfano wataanza kuwachunguza akina RUPIA kwa sababu wana majumba mazuri Dar? Je akina SYKES watapona?
Hivi katika dunia ya leo hawa hawatompata mtu na kama wakos erious then inabidi ma civil servants waongezewe mishahara ambayo inaendana na hali halisi ya uchumi wa nchi
MCL, IPP zaungana kupambana na rushwa
Na Mwandishi Wetu
Gazeti la Mwananchi
KAMPUNI za Mwananchi Communications Limited (MCL) na IPP Media zimekubaliana kuunganisha juhudi za kupambana na rushwa kwa waandishi wa habari.
Miongoni mwa maazimio yaliyofikiwa jana na pande zote kwenye Hoteli ya Movenpick ni kuhakikisha waandishi wa kampuni hizo hawapokei 'bahasha' kutoka kwa watoa habari.
RA si anashares huko MCL?