ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,110
- 49,826
Tanzania imetajwa na IMF miongoni mwa Nchi 10 Zenye Madeni kidogo Sana.
Orodha hiyo inayopima uwiano wa deni la Taifa na Ukubwa wa Uchumi imeonesha Nchi ya Tanzania Ina uwiano wa Asilimia 41.8% ikiwa ni kiwango kidogo cha deni.
View: https://www.instagram.com/p/C2FiRbLoKyy/?igsh=OHZ5YTN1d280amxv
Kwa Baadhi ya watu hizi ni habari nzuri ila ukitazama kiuchumi Kwa sehemu kubwa sio habari nzuri kabisa Kwa Nchi yenye umaskini mkubwa kama Tanzania.
Nasema sio habari njema Kwa sababu Kwa Nchi kama ya Tanzania ambayo inajitahidi kujikwamua kiuchumi ilitakiwa itumie fursa hii kukopa zaidi na kuwekeza kwenye sekta za uzalishaji kama miundombinu ya Uchumi kama Barabara,,Umeme,Uvuvi,Kilimo Cha Umwagiliaji,Kufungua fursa za Utalii na Biashara.
Kwa bahati mbaya sana Serikali inazidi kuwabana watu wake maskini Kwa kuwalundikia tozo,Kodi na Kila aina ya makato mfano ya wakulima ambayo yanazidi kuwadidimiza wakati ilikuwa na nafasi ya kukopa na kutumia pesa ya Mikopo kujenga uwezo zaidi Kwa Uchumi wa Nchi na kuleta Ustawi Kwa watu.
Ukiwawezesha Kwa kuwaounguzia makodi Kodi inawapa purchasing power na saving ya kwenye uzalishaji hivyo in long run unachochea uchumi wako zaidi.
Nitoe wito Kwa Serikali ipunguze Kodi Kwa Watumishi Hadi 5-6%,ipunguze VAT Hadi 15%,ifute makato na matizo kwenye Kilimo,Uvuvi na Utalii .
Ili kufidia Mapato yatakayopotea itumie fursa ya Mikopo Kwa kukopa zaidi kwenye madilisha ya Mikopo nafuu na iwekezeke kwenye sekta za uzalishaji Mali nilizoeleza hapo Juu.Tunaweza kuanza hatua Kwa hatua Ili walau tufikie ukomo Wetu wa kukopa kama Nchi ndio iwe ceiling yetu kuliko kushangilia una deni dogo wakati unaogelea kwenye umaskini.
Orodha hiyo inayopima uwiano wa deni la Taifa na Ukubwa wa Uchumi imeonesha Nchi ya Tanzania Ina uwiano wa Asilimia 41.8% ikiwa ni kiwango kidogo cha deni.
View: https://www.instagram.com/p/C2FiRbLoKyy/?igsh=OHZ5YTN1d280amxv
Kwa Baadhi ya watu hizi ni habari nzuri ila ukitazama kiuchumi Kwa sehemu kubwa sio habari nzuri kabisa Kwa Nchi yenye umaskini mkubwa kama Tanzania.
Nasema sio habari njema Kwa sababu Kwa Nchi kama ya Tanzania ambayo inajitahidi kujikwamua kiuchumi ilitakiwa itumie fursa hii kukopa zaidi na kuwekeza kwenye sekta za uzalishaji kama miundombinu ya Uchumi kama Barabara,,Umeme,Uvuvi,Kilimo Cha Umwagiliaji,Kufungua fursa za Utalii na Biashara.
Kwa bahati mbaya sana Serikali inazidi kuwabana watu wake maskini Kwa kuwalundikia tozo,Kodi na Kila aina ya makato mfano ya wakulima ambayo yanazidi kuwadidimiza wakati ilikuwa na nafasi ya kukopa na kutumia pesa ya Mikopo kujenga uwezo zaidi Kwa Uchumi wa Nchi na kuleta Ustawi Kwa watu.
Ukiwawezesha Kwa kuwaounguzia makodi Kodi inawapa purchasing power na saving ya kwenye uzalishaji hivyo in long run unachochea uchumi wako zaidi.
Nitoe wito Kwa Serikali ipunguze Kodi Kwa Watumishi Hadi 5-6%,ipunguze VAT Hadi 15%,ifute makato na matizo kwenye Kilimo,Uvuvi na Utalii .
Ili kufidia Mapato yatakayopotea itumie fursa ya Mikopo Kwa kukopa zaidi kwenye madilisha ya Mikopo nafuu na iwekezeke kwenye sekta za uzalishaji Mali nilizoeleza hapo Juu.Tunaweza kuanza hatua Kwa hatua Ili walau tufikie ukomo Wetu wa kukopa kama Nchi ndio iwe ceiling yetu kuliko kushangilia una deni dogo wakati unaogelea kwenye umaskini.