tetere
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 963
- 430
Mwanakijiji,
Kwa muda mrefu sasa Kagame amekuwa na sera ya kutaka kuitawala kanda yote ya maziwa makuu. Na nadhani mwanzoni ndio iliyokuwa vision yake yeye na Museveni (Sidhani kama amebadilisha vision hii). Ni dhahiri kuwa kagame alitofautiana sana na Mkapa juu ya hili (personality clash)hasa kwa kuwa kila mmoja alikuwa hapendi tabia za mwenzie.
Pili, Kagame na Museveni wamekuwa na sera ya kuukuza utusi - kwa kisingizio cha kuwalinda watusi wasiuwawe.Hii imewapa moral right ya kutumia silaha,kukuza/kujenga majeshi ya uasi Kongo,Uganda,Burundi.
Tatu,Kagame anajua kuwa ni smart na anapenda ajulikane kuwa yeye ni smart hasa katika masuala ya kijeshi, kivita na kimikakati jambo ambalo limewafanya marais/ viongozi wengi wamwogope, hasa kwa sababu za kuto-kujiamini kwao.
Nne, ni katika sifa hizi chache (na nyingine kubwa zaidi) ambazo kagame amekuwa ni kijogoo wa ukanda huu wa maziwa makuu na hakuna kiongozi aliye madarakani kwa sasa anaeweza kumnyoshea kidole.
Tano, Kagame ana sera ya kuwa haongei na vijana wadogo (Kikwete,Kibaki,Museveni nk) bali yeye yuko kwenye club ya juu zaidi ya kina Bush/Blair
NB:Aliwahi kumwambia Mkapa "The whole of East Africa inahitaji Rais mmoja tu MWENYE AKILI. Mkapa alikasirika sanaaaaaaa! This guy is arrogant(or too confident/ with very high opinion over himself) He is a bully,murderer,war criminal etc. Ukimuuliza Kikwete atakuambia ngoja tuongee na Blair. Kaazi kwelikweli
* T dont believe Tanzania ina kiongozi mwenye kuweza kuona sababu ya Kuuangalia Upya uhusiano wetu na Rwanda.
Kwa muda mrefu sasa Kagame amekuwa na sera ya kutaka kuitawala kanda yote ya maziwa makuu. Na nadhani mwanzoni ndio iliyokuwa vision yake yeye na Museveni (Sidhani kama amebadilisha vision hii). Ni dhahiri kuwa kagame alitofautiana sana na Mkapa juu ya hili (personality clash)hasa kwa kuwa kila mmoja alikuwa hapendi tabia za mwenzie.
Pili, Kagame na Museveni wamekuwa na sera ya kuukuza utusi - kwa kisingizio cha kuwalinda watusi wasiuwawe.Hii imewapa moral right ya kutumia silaha,kukuza/kujenga majeshi ya uasi Kongo,Uganda,Burundi.
Tatu,Kagame anajua kuwa ni smart na anapenda ajulikane kuwa yeye ni smart hasa katika masuala ya kijeshi, kivita na kimikakati jambo ambalo limewafanya marais/ viongozi wengi wamwogope, hasa kwa sababu za kuto-kujiamini kwao.
Nne, ni katika sifa hizi chache (na nyingine kubwa zaidi) ambazo kagame amekuwa ni kijogoo wa ukanda huu wa maziwa makuu na hakuna kiongozi aliye madarakani kwa sasa anaeweza kumnyoshea kidole.
Tano, Kagame ana sera ya kuwa haongei na vijana wadogo (Kikwete,Kibaki,Museveni nk) bali yeye yuko kwenye club ya juu zaidi ya kina Bush/Blair
NB:Aliwahi kumwambia Mkapa "The whole of East Africa inahitaji Rais mmoja tu MWENYE AKILI. Mkapa alikasirika sanaaaaaaa! This guy is arrogant(or too confident/ with very high opinion over himself) He is a bully,murderer,war criminal etc. Ukimuuliza Kikwete atakuambia ngoja tuongee na Blair. Kaazi kwelikweli
* T dont believe Tanzania ina kiongozi mwenye kuweza kuona sababu ya Kuuangalia Upya uhusiano wetu na Rwanda.