Tanzania isitishe uhusiano na Rwanda juu ya DRC?

Mwanakijiji,
Kwa muda mrefu sasa Kagame amekuwa na sera ya kutaka kuitawala kanda yote ya maziwa makuu. Na nadhani mwanzoni ndio iliyokuwa vision yake yeye na Museveni (Sidhani kama amebadilisha vision hii). Ni dhahiri kuwa kagame alitofautiana sana na Mkapa juu ya hili (personality clash)hasa kwa kuwa kila mmoja alikuwa hapendi tabia za mwenzie.

Pili, Kagame na Museveni wamekuwa na sera ya kuukuza utusi - kwa kisingizio cha kuwalinda watusi wasiuwawe.Hii imewapa moral right ya kutumia silaha,kukuza/kujenga majeshi ya uasi Kongo,Uganda,Burundi.

Tatu,Kagame anajua kuwa ni smart na anapenda ajulikane kuwa yeye ni smart hasa katika masuala ya kijeshi, kivita na kimikakati jambo ambalo limewafanya marais/ viongozi wengi wamwogope, hasa kwa sababu za kuto-kujiamini kwao.

Nne, ni katika sifa hizi chache (na nyingine kubwa zaidi) ambazo kagame amekuwa ni kijogoo wa ukanda huu wa maziwa makuu na hakuna kiongozi aliye madarakani kwa sasa anaeweza kumnyoshea kidole.

Tano, Kagame ana sera ya kuwa haongei na vijana wadogo (Kikwete,Kibaki,Museveni nk) bali yeye yuko kwenye club ya juu zaidi ya kina Bush/Blair

NB:Aliwahi kumwambia Mkapa "The whole of East Africa inahitaji Rais mmoja tu MWENYE AKILI. Mkapa alikasirika sanaaaaaaa! This guy is arrogant(or too confident/ with very high opinion over himself) He is a bully,murderer,war criminal etc. Ukimuuliza Kikwete atakuambia ngoja tuongee na Blair. Kaazi kwelikweli
* T dont believe Tanzania ina kiongozi mwenye kuweza kuona sababu ya Kuuangalia Upya uhusiano wetu na Rwanda.
 
Sisi wenyewe tuko nyuma ya pazia, tunapewa cha juu kupitisha silaha si ajabu hata wanajeshi wetu wako huko...
 
Mzee Mwanakijiji,
Naona hii mada inafaa sana kujadiliwa na wanajamii.
Je, nani alaumiwe kwa matatizo ya DRC; Rwanda au Uongozi wa Congo?
Maoni yangu ni kwamba kabla ya kulaumu nchi nyingine, DRC inatakiwa kujilaumu. Nimeangalia Aljazeera ikilipoti kuhusu kutekwa kwa mji wa Goma na kugundua kuwa hakuna mapigano (resistance) kutoka upande wa serikali na watu katika mji huo wamefurahia ujio wa M23. Tatizo liko wapi? MONUSCO wamedai kuwa hamna haja ya kupigana na M23 ilhali walikuwa wakisaidiana na jeshi la serikali. Hii kwangu inanipa mawazo kuwa UN unaidanganya jumuiya ya kimataifa kuhusu matatizo ya Eastern DRC.
Kwa kutatua mgogoro wa DRC ni vizuri kikaangaliwa kiini cha mgogoro badala ya kulaumu mtu au nchi yoyote. Vinginevyo tutashuhudia mgogoro usioisha.
Pili, naona UN ilaumiwe kabla ya Rwanda kwa sababu haiingii kichani jinsi MONUSCO inayotumia zaidi USD 1 billion kwa Mwaka ilishindwa kutekeleza jukumu lake mwisho wa siku M23 ikazaliwa na Leo hii mgogoro ndo huu!
 
Sifa ya sauti ya karipio ya Tanzania mbele ya uso wa kimataifa haina makali wala uthubutu kwa leo!

Mwaka 2003 Burudi ilituma makomandoo wake wakavamia mji wa kigoma kuanzia bandari, lakini kwa sauti ya mtutu wa bunduki ndani ya mappigano ya saa 6, tuliwazima na kuuwa makomandoo 6 kati ya 23 waliokuwa wamejipenyeza na kuleta uvamizi huo!

Siku sita baada ya kipigo kitakatifu, rais wa Burundu Pieri Buyoya alipanda ndege kuja Dar kumpigia magoti Mbabe wa Kimakua Benjamini W. Mkapa

Na hali ilitulia katu burudi hawatodai tena kuwa Kigoma ni yao!

Sasa kwa leo sioni nyota ya kimataifa kwa nchi hii, Silaha zote haramu zinappita Bandari ya Dar!
 
Mkuu tetere,

Vigumu ku-quote some phrases but...Kagame deserves in some areas to be how he is now. I quote K when he was addressing the audience at Udsm in 2004 if not 2005, where was Tnz when about 800000 tutsis were massively slaughtered'? where was Tnz neighbourhood with R by then? how would she harmonize the stn now? lakini vingine tukubali kuwa Tzn imejishusha adhi kisa ufisadi, umaskini...
 
Mwanakijiji,
Kwa muda mrefu sasa Kagame amekuwa na sera ya kutaka kuitawala kanda yote ya maziwa makuu. Na nadhani mwanzoni ndio iliyokuwa vision yake yeye na Museveni (Sidhani kama amebadilisha vision hii). Ni dhahiri kuwa kagame alitofautiana sana na Mkapa juu ya hili (personality clash)hasa kwa kuwa kila mmoja alikuwa hapendi tabia za mwenzie.

Pili, Kagame na Museveni wamekuwa na sera ya kuukuza utusi - kwa kisingizio cha kuwalinda watusi wasiuwawe.Hii imewapa moral right ya kutumia silaha,kukuza/kujenga majeshi ya uasi Kongo,Uganda,Burundi.

Tatu,Kagame anajua kuwa ni smart na anapenda ajulikane kuwa yeye ni smart hasa katika masuala ya kijeshi, kivita na kimikakati jambo ambalo limewafanya marais/ viongozi wengi wamwogope, hasa kwa sababu za kuto-kujiamini kwao.

Nne, ni katika sifa hizi chache (na nyingine kubwa zaidi) ambazo kagame amekuwa ni kijogoo wa ukanda huu wa maziwa makuu na hakuna kiongozi aliye madarakani kwa sasa anaeweza kumnyoshea kidole.

Tano, Kagame ana sera ya kuwa haongei na vijana wadogo (Kikwete,Kibaki,Museveni nk) bali yeye yuko kwenye club ya juu zaidi ya kina Bush/Blair

NB:Aliwahi kumwambia Mkapa "The whole of East Africa inahitaji Rais mmoja tu MWENYE AKILI. Mkapa alikasirika sanaaaaaaa! This guy is arrogant(or too confident/ with very high opinion over himself) He is a bully,murderer,war criminal etc. Ukimuuliza Kikwete atakuambia ngoja tuongee na Blair. Kaazi kwelikweli
* T dont believe Tanzania ina kiongozi mwenye kuweza kuona sababu ya Kuuangalia Upya uhusiano wetu na Rwanda.
Well said mkuu Kagame is bully,murderer,war criminal etc etc etc, mikono yake imejaa damu but time is a good teacher, ipo siku wazungu wanaomsapot watampiga chini sasa ndo tutajua ukweli
 
Mhnnn...,
Mzee hata anga za kimataifa humo. Find out kama Tanzania haipo kinshansa kumlinda Kabila, find out kama Tanzania haisapoti kijeshi the DRC. all in all before Tanzania gets there, rebels might have genuine reasons. Wasikurupuke kama Membe alivyofanya -Libya case.

[h=2]Tanzania to commit troops to DRC
[/h]


Kampala: Tanzania has pledged to contribute troops to be part of the proposed regional force to fight rebel groups in eastern DR Congo, including M23. Sources, who attended the two-day closed door meeting attended by Great Lakes Countries presidents, chaired by President Museveni, indicated that Uganda said it could not send troops to DR Congo since it is already heavily involved in Somalia. The size of the forces that Tanzania will commit to help fight the rebels in the vast mineral-rich country will be discussed next month.


Tanzanian president Jakaya Kikwette, DR Congo’s Joseph Kabila, Kenya’s Vice President Kalonzo Musokya and Rwanda’s officials were in the meeting.Earlier on Wednesday, Uganda denied reports that Congolese government officials at the Great Lakes conference in Kampala had opposed Uganda, Rwanda and Burundi to be part of the proposed regional force to fight rebel groups that have attacked the eastern DR Congo.




Sources close to the meeting said DRC is strongly opposed to the involvement of the three countries, saying the trio cannot be impartial if their troops are deployed in the restive region of DRC because of the troubled past relations between Uganda, Rwanda and DRC.


Rwandan and Ugandan forces fought to overthrow the Congolese government in early 2000 before fighting each other in 2001. But Uganda's defence minister Crispus Kiyonga told journalists at the sidelines of the meeting that there were no disagreements during the meeting, adding that "no single country" had pledged to send troops to fight the rebels using DRC as a safe haven.



President Museveni, who is the chairman of International Conference of Great Lakes Region, chaired the meeting at which the ministers briefed the heads of State on the adopted ministerial meeting resolutions. The meeting is a follow-up of last month's summit that tasked defence ministers and intelligence chiefs from the seven countries to meet in Goma, DR Congo, to define the modalities of the force deployment.


After one week of meetings, defence and intelligence officials from Uganda, Angola, Rwanda, DR Congo, Republic of Congo, Tanzania and Burundi compiled an interim report that defines how the force would be funded, the type of equipment needed and the size of the force.


The officials refused to reveal the specifics of the interim report and said it will be presented to the heads of State. The ICGLR, also includes the Central African Republic, Kenya, Sudan and Zambia.


Meanwhile, the UN Secretary General, Ban ki Moon told the Great Lakes leaders yesterday those involved in the causing deaths and destruction of properties should not be left to get away with it but brought to justice by the relevant institutions.
"I condemn the violation of right by M23 as well as other armed forces. And the perpertrators must be held accountable" Abou Moussa, the special representative and head of UN regional office Central Africa, said in a statement.

Source:
http://www.safpi.org/news/article/2012/tanzania-commit-troops-drc







 
Nchi ya Rwanda imekuwa ikidaiwa kuhusika sana na machafuko ya DRC na kuwa vyanzo mbalimbali (hasa vya Umoja wa Mataifa na nchi za Magharibi) vinaonesha kuwa Rwanda ndio inaunga mkono na kusapoti kundi la waasi la M23. Je, Tanzania ina msimamo gani kuhusu Rwanda na kuhusija kwake na mgogoro wa Congo? Je wakati umefika kwa Tanzania kuchukua msimamo mkali ikiwemo kuzuia Rwanda kutumia bandari zetu kupitisha silaha ambazo nyingine zinaishia mikononi mwa waasi?

DR Congo Crisis: Tanzania's Hand


mkapa.jpg
Benjamin Mkapa
I was shocked when I learnt that Benjamin Mkapa, Tanzania's former president, is one of the peace mediators in the Democratic Republic of Congo (DRC).

Historically speaking, Tanzania has a hand in the crisis in DRC. Had Tanzania not supported Ugandan president Yoweri Museveni (who in turn cloned Rwandan Paul Kagame) there wouldn't have been this crisis in DRC and genocide in Rwanda.
It all started when Idi Amin deposed Tanzania's then great friend, Milton Obote. Tanzania overthrew Amin and reinstated Obote who later, proved to be bogus. That is when Museveni, groomed by Obote, entered the big picture.

Tanzania also features in the Rwanda genocide which started with the downing of the presidential jet. By then, Mkapa was minister for foreign affairs and major player in the Arusha Conference. The deaths of former Rwandan President Juvenal Habyarimana along with his Burundian counterpart, Cyprian Ntaryamira have something to do with Tanzania. These two died on the way from Tanzania to attend a botched peace conference in Arusha.

Tanzania must have known what was going on. That's why it lulled Habyarimana into the ploy of bringing all his top brass with him in the conference, knowing they'd not make it back to Kigali. And indeed, they were felled by pro-Uganda Rwandese Patriotic Front (RPF). Instead of condemning and barring RPF from taking power, they hurriedly supported it. The whole meaning of peace was lost ever since.

Whilst Rwanda and Uganda are arrogantly pushing DRC to the limits to (talk with Laurent Nkunda), they don't want to hear anything with regards to Kigali talking with Rwandan Hutus! They don't. For their pretext to plunder DRC is ‘fighting' Interahamwe. This is double standard and hypocrisy, just like the one of Israelis pounding Palestine. This has become a norm for all artificial and illegal regimes in the world.

They are favoured because of their fabricated history. Rich countries would like to see Israel do whatever it likes as this helps them steal from Arabs. If peace prevails in the Middle East, Arabs will no longer need ‘protection' from rich countries. The threat will be gone.

Another fact that disqualifies Mkapa is the fact that Nkunda and his killers have been receiving weapons from Rwanda imported via Dar es Salaam. The authorities are aware of this and they have never done anything about it.
The solution for DRC crisis is simple. Dispatch seven battalions as Tanzania did in the Comoro recently and Nkunda will be netralized. Why should we waste time and money for no reason? If Africa goes on discussing with terrorists, every hooligan will cause mayhem unnecessarily. We witnessed such tribal megalomania in Mount Elgon in Kenya.Where are the so-called rebels?

Is it because rich nations are benefiting from minerals stolen from DRC making it difficult to descend on Nkunda? If Bush went to Iraq, why should the great lakes region fail to descend on Nkunda?

And to make sure that this cover is not blown up, Tanzania and Uganda lulled Kenya to admit Rwanda in the East African Union by bending the laws. The coming of Rwanda and partly Burundi was illegally fast -racked for no logical reasons. This is against the will of the citizens of original member states.

If getting market is the reason gearing the illegal admission of Rwanda and partly Burundi into the East African union, why haven't East African countries ever invited Mozambique whose economy is bigger and more vibrant than those two countries put together? If unity which means strength is the cause, why haven't they ever considered Malawi and Zambia?

Tanzania has interests in the deterioration of DRC. To date, most of Joseph Kabila's security advisers are from Tanzania People's Defence Force (TPDF). And Rwanda and Uganda are aware of this save that all are getting a share on DRC minerals and other resources; nobody is raising eyebrows in this conspiracy.In other words, Kabila is in power not to emancipate the Congolese but to plunder them in conjunction with these dubious masters. His father tried to get himself off the hook and was butchered.

Mkapa is corrupt: he has never disputed the fact that he and his wife, family and friends amassed much wealth and illegally acquired Kiwira Coal Mine using the office of the president. Should Mkapa be stripped of presidential immunity, he would face numerous corruption charges. He thus, cannot feel the pains the Congolese feel. True, this anomaly cost Mkapa. He lost the Mo Ibrahim prize for Africa's good leader of year. Indeed, this was caused by Tanzanians after they were appalled.

Mkapa squarely failed to resolve the crisis in Zanzibar. Up to now, President Jakaya Kikwete is in dilemma. He does not know what to do about it. As president, Mkapa dispatched the army that killed many people making Tanzanians to be refugees in Shimoni-Mombasa and Europe for the first time of her history. Such a person does not get it when it comes to promoting peace.

Uganda and Rwanda are, among others, the root cause of all miseries we're witnessing in DRC. Mkapa is a great friend of Yoweri Museveni who also is a great friend and mentor of Rwandan strong man Paul Kagame.
If we seriously are aiming at helping DRC, we should take a leaf from Kenya and Burundi. When Nelson Mandela stepped in to seek peace in Burundi, the results were tremendous as it was for Koffi Annan when he descended on Kenya's post-election megalomania.

Competent mediators assure both sides to reach a conclusive end. Though Mkapa is not a chief mediator (I know it is Olusegun Obassanjo) still he can hamper the reaching of the conclusion and shall one of the parties discover this weakness, he surely will use it to shy away from the round table.

Retired presidents like Bakili Muluzi (Malawi), Daniel arap Moi (Kenya), Fredrick Chiluba (Zambia) and Pierre Buyoya (Burundi) are but a disgrace to their countries and cannot stand on the same rostrum as Nelson Mandela, Ketumile Masire, Joachim Chissano, Thabo Mbeki and John Kuffuor. Nay, never shall they dare even accidentally. They are elders. Yes we agree, but they left bad legacies and are not supposed to go anywhere near a mediation table especially in DRC.

By Nkwazi Mhango
Mhango is a Tanzanian living in Canada. He is a Journalist, Teacher, Human Rights activist and member of the Writers' Association of New Foundland and Labrador (WANL)


Source:
http://www.africanexecutive.com/modules/magazine/article_print.php?article=3992


 
Tanzania ina interest gani Congo? Juzi tu nilisoma ndio bado waandishi wa habari wanaalikwa kuoneshwa what is Congo (as if uzinduzi fulani). Sasa jaribu kujiuliza interest za Tanzania in Rwanda, then ask yourself why Tanzania would jeopardize its interest in Rwanda for a Congo ambapo hawana declared interest so far.
Maybe unambie Tanzania ihakikishe kua makubaliano ya adis (ya kutuma a neutral force) yatakamilika mapema iwezekanavyo under †ђξ leadership of Tanzania. Since both Rwanda and Drc are part of hayo makubaliano watakua wamekwepa suala la kugongana na mwenzao wa EAC.
 
Nani alimsaidia Kabila "baba" kuingia madarakani? nazungumzia kabila aliekuwa anakaa wilaya ya temeke!

Swali zuri sana hili, na je ni nani alisaidia kuuawa kwa mzee kabila? Je kulikuwa na urafiki wowote kati ya Kabila na Savimbi? Je kulikuwa na uhusiano wowote kati ya US na Kabila? Au US na Savimbi? Je DRC Congo yote inaongozwa na 'Rais' kabila?
 
Nchi ya Rwanda imekuwa ikidaiwa kuhusika sana na machafuko ya DRC na kuwa vyanzo mbalimbali (hasa vya Umoja wa Mataifa na nchi za Magharibi) vinaonesha kuwa Rwanda ndio inaunga mkono na kusapoti kundi la waasi la M23. Je, Tanzania ina msimamo gani kuhusu Rwanda na kuhusija kwake na mgogoro wa Congo? Je wakati umefika kwa Tanzania kuchukua msimamo mkali ikiwemo kuzuia Rwanda kutumia bandari zetu kupitisha silaha ambazo nyingine zinaishia mikononi mwa waasi?
Mzee
Nadhani hiyo sio approach nzuri kwa Tanzania. Tujali maslahi yetu na tusijihusishe na yasiyotuhusu. Ukisema hivyo, mbona China na Russia zimekuwa mabubu wakati wananchi wasio na hatia wanakufa kwa maelfu kila siku kule syria?
Museven anawachinja wapinzani wake, je nae tumsusie? Kumbuka, tukigoma kupitisha mizigo yao, Kenya wako tayari kufanya hivyo
 
my million thanks to mzalendo08. Then should we conclude that Tnz is part of the prob? Should as well say that Tnz is in an impossible angle to advice or rather be mediator? Ebu fatilia basi research ya prof Baregu on the interests of parties involved in conflicts of great Lakes uone jinsi wanavyofaidi ktk migogoro hiyo(not sure kama nime-quote vizuri research title yake but something related to that )
 
Wacongo ni asili yao kuuana, hata bila nchi jirani kuhusika wataendelea kupigana.hawa jamaa wamesha sahau ubinadamu wamekua kama manyani tu.
 
Nchi ya Rwanda imekuwa ikidaiwa kuhusika sana na machafuko ya DRC na kuwa vyanzo mbalimbali (hasa vya Umoja wa Mataifa na nchi za Magharibi) vinaonesha kuwa Rwanda ndio inaunga mkono na kusapoti kundi la waasi la M23. Je, Tanzania ina msimamo gani kuhusu Rwanda na kuhusija kwake na mgogoro wa Congo? Je wakati umefika kwa Tanzania kuchukua msimamo mkali ikiwemo kuzuia Rwanda kutumia bandari zetu kupitisha silaha ambazo nyingine zinaishia mikononi mwa waasi?
Naunga mkono hoja. BBC hivi punde wametoa habari ya M23 kuuteka mji wa Goma. Back up ya M23 ni Rwanda na Uganda.
 
Sasa TZ wakipeleka askari kuisaidia serikali ya Kabila, JD, huoni watakuwa wakipigana na Uganda na Rwanda ambao ni Member States wa EAC?...upuuzi mtupu.
Tanzania to commit troops to DRC





Kampala: Tanzania has pledged to contribute troops to be part of the proposed regional force to fight rebel groups in eastern DR Congo, including M23. Sources, who attended the two-day closed door meeting attended by Great Lakes Countries presidents, chaired by President Museveni, indicated that Uganda said it could not send troops to DR Congo since it is already heavily involved in Somalia. The size of the forces that Tanzania will commit to help fight the rebels in the vast mineral-rich country will be discussed next month.


Tanzanian president Jakaya Kikwette, DR Congo's Joseph Kabila, Kenya's Vice President Kalonzo Musokya and Rwanda's officials were in the meeting.Earlier on Wednesday, Uganda denied reports that Congolese government officials at the Great Lakes conference in Kampala had opposed Uganda, Rwanda and Burundi to be part of the proposed regional force to fight rebel groups that have attacked the eastern DR Congo.




Sources close to the meeting said DRC is strongly opposed to the involvement of the three countries, saying the trio cannot be impartial if their troops are deployed in the restive region of DRC because of the troubled past relations between Uganda, Rwanda and DRC.


Rwandan and Ugandan forces fought to overthrow the Congolese government in early 2000 before fighting each other in 2001. But Uganda's defence minister Crispus Kiyonga told journalists at the sidelines of the meeting that there were no disagreements during the meeting, adding that "no single country" had pledged to send troops to fight the rebels using DRC as a safe haven.



President Museveni, who is the chairman of International Conference of Great Lakes Region, chaired the meeting at which the ministers briefed the heads of State on the adopted ministerial meeting resolutions. The meeting is a follow-up of last month's summit that tasked defence ministers and intelligence chiefs from the seven countries to meet in Goma, DR Congo, to define the modalities of the force deployment.


After one week of meetings, defence and intelligence officials from Uganda, Angola, Rwanda, DR Congo, Republic of Congo, Tanzania and Burundi compiled an interim report that defines how the force would be funded, the type of equipment needed and the size of the force.


The officials refused to reveal the specifics of the interim report and said it will be presented to the heads of State. The ICGLR, also includes the Central African Republic, Kenya, Sudan and Zambia.


Meanwhile, the UN Secretary General, Ban ki Moon told the Great Lakes leaders yesterday those involved in the causing deaths and destruction of properties should not be left to get away with it but brought to justice by the relevant institutions.
"I condemn the violation of right by M23 as well as other armed forces. And the perpertrators must be held accountable" Abou Moussa, the special representative and head of UN regional office Central Africa, said in a statement.

Source:
http://www.safpi.org/news/article/2012/tanzania-commit-troops-drc







 
ninaweza kuwapa majina na namba za simu za majamaa wa kikongo wanaofanya biashara kama hizo chafu..wapo hapa dar
 
Tulijitia umbea wa kujifanya kimbelembele na kuzisaidia nchi kibao kupigania uhuru, angalia tulivyolost. Wamepata uhuru na they don't care about us, hata kupewa visa zao ni mgogoro. Tuachane na yasiyotuhusu
 
Current discovery of large oil reserve along the coast of Lake Tanganyika in DRC side will bear a new Curse episode!Ooh poor DRC nchi kubwa kuliko zote Africa na yenye resources za kutisha lakini raia wake wamekuwa wakimbizi wa kudumu! Rwanda and Uganda shame on you, Give Congolese a break atleast to enjoy their wealth once in their life time.
 
Back
Top Bottom