UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 10,048
- 9,342
Ndo zao hizo. Wanataka watumie usiku wote kuchakachua. Hawa watu hawaitakii mema nchi yetu. Wanataka kutupeleka kule tusikotaka kwenda; kuuana kwanza ndo tuheshimiane. Laana ya Mungu itakuwa juu yenu na mafisadi wenzenu nchi hii itakapotumbukia kwenye machafuko.