Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,209
Waikristu mmeshindwa mnaanza kulia kulia. Poleni sana tutaonana 2015. Ccm oyee, waislamu oyee
Huko ndiko alikoifikisha nchi Kikwete!! People are no longer discussing national issues but religious issues. Kama mtu anaweza kuandika bila hata aibu mambo ya uislamu na ukiristo katika uchaguzi, basi ujue huyu kama si juha basi taahira kabisa. Hivi wailamu nchini wako wangapi kiasi cha kuweza kupiga kura hizo zote alizopata Kikwete? Hili lijamaa linanitia hasira!! Kama ndo hivyo basi tutaona kama huyo Kikwete atamaliza hii miaka mitano?! Take my words!! Huyu Mkwere hamalizi miaka mitano, na akimaliza mimi nahama nchi.