Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
kuna watu machizi keli yaani kapanga foleni kwenda kumpigia dovutwa???????????????? mbona wanatangaza matokea ambayo wanajua hakuna ushindani??? hayo mengine wanataka kuchakachua??
Magogoni
JK 696
Dr. 50
Prof. 6044
Bukoba Mjini.
JK 15,410
Prof. 449
Majimbo kumi yametimia watatuita tena kutupa kumi mengine. Nimeyapata kwenye hard copy, natafuta scanner nimscanie Invisible.
matokeo mengine ni saa 11 jioni na ya mwisho saa 2:00 usiku.
toa pumba zako hapa za ccm fisadi mkubwa wewe
Mwelekeo ni ushindi wa kuridhisha wa ccm!
Sidhani kama jamaa anatoa upumbavu ila nadhani ndiyo Ukweli ambao hata mimi siufurahii ila koz ndiyo ukweli then I think Acceptance will keep us in peace....................Nadhani Dr. Slaa hata kama atashindwa ila ametoa ushindani from point A to B.....BIG UP my Beloved Prezidaa....Dr. Slaa.............
ilielezwa tangu awali kwamba Dr Slaa hamuwezi Dr Kikwete wapo walituona sisi ni wendawazimu
kuna watu machizi keli yaani kapanga foleni kwenda kumpigia dovutwa???????????????? mbona wanatangaza matokea ambayo wanajua hakuna ushindani??? hayo mengine wanataka kuchakachua??
majimbo 10 kwa sasa kati ya majimbo 200 si itachukua wiki moja
Malaria Sugu, alipigana peke yake sasa kuna dalili ataibuka mshindi na chama chake cha CCM.
NN, ndio maana wamechelewesha matokeo
matokeo kama yalivyotangazwa na NEC muda mfupi uliopita
so far:
nitaendelea kuwapa za uhakika kadri zinavyotangazwa na Tume na kuwa updated kwenye mtandao wa mwananchi link: Mwananchi Election Editions
- Kikwete 64% 105,940
- Slaa 25% 41,198
- Lipumba 8% 13,812
hii ina issue yote as it is confirmed by NEC.