Tangu aniombe hela yule dada nimekata mguu

Tangu aniombe hela yule dada nimekata mguu

ukiwa na moyo maskini maisha yako yatkua yakimaskini wenye mioyo tajiri wala hawaumizi kihwa
 
ukiwa na moyo maskini maisha yako yatkua yakimaskini wenye mioyo tajiri wala hawaumizi kihwa
 
Kuna mtu nilimuomba 300k akajichunisha baada ya siku 3 akarudi anajichekesha kama hakuona ile text, nimefukuzia mbali, unakuwaje karibu na mtu asiye na msaada.
Haha na wanaume sikuhiz wamekua wajanja ...miaka ya zaman wanaum walikua wanaonga ki fala sana skuizz washajua kuwa mbona sketi kibao hadi za kununua bei cheee...madem wana kazi skuiz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It depends na hivyo... ingekuwa mimi ningempa hiyo hela kisha nione shida zitavyoongezeka kila uchwapo then nimdarase kabla ya kumfungulia mlango wa kutokea....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msisitizo


Na huwezi jua wengine wakikereka wanatuma kisha wanakublock......
ni kweli kabisaa.ila mimi kuna kitu kinanishangaza.nimeamua kukuchunia kwanini uendelee kunisumbua kwenye sim unataka nini tena na lengo lako nishakuelewa kuwa hunitaki? Wanawake mna mambo
 
Unadhani mwanaume ambae anataka awe mune anamfanyia hivyo? Yaani ukiwa unapigwa mizinga ujue mwenzio walaaaah hana mzuka wa ndoa na wewe

Unapigwa mizinga mpaka ukiona namba yake unapata kizunguzungu
Na ndomana hatuwaoi,tunapiga na kaucha wanazeeka,si wanapenda pesa,..dawa ndio hyo,tutahonga hzo lak lakin kuoa sahau
 
Back
Top Bottom