Bacary Superior
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 3,721
- 1,515
mmhh 300k jitahidi umpatie kipenzi chako ukishindwa ata 200k mwambie ndio uwezo wako
Yes Vale
mkiombwa tigo mnakuja kulalamika humu wanaume siku hz tumekua mashetaniKuna mtu nilimuomba 300k akajichunisha baada ya siku 3 akarudi anajichekesha kama hakuona ile text, nimefukuzia mbali, unakuwaje karibu na mtu asiye na msaada.
agiza chochote nakuja kulipia best comment everShida sio kutoa hela shida ni quality yako inaendana na hiyo hela?huwezi nunua kiatu cha laki 3 mtumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
utajarbu kwa wangap hii nchi sasa??si ungempa kama unayo? uone part two itakuaje.labda ungepewa wewe je?
Kumbe kwenye team yetu tuko wengimm ukitaka kunikataa usinipige kibuti coz ntaendelea kuforce force ww nipige mzinga wa maana hua nahakikisha nadelete na namba kabsa
Sent using Jamii Forums mobile app
humo nimo mkuu kwenye kutoa pesa kwa mtu niko makini sanaKumbe kwenye team yetu tuko wengi
Ukiniomba tigo na mimi nakuomba wote si tunazo, nakuanza wewe kukula na chupa ya bia alafu ndo uje kwangu nyambafuuu.mkiombwa tigo mnakuja kulalamika humu wanaume siku hz tumekua mashetani
ww hata hatujajuana vzr unataka 300k mshaahara wa mwez wa mtu kirahisi kabsa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa hawana shukrani hawa unatoa hela mwenzio anagonga burehumo nimo mkuu kwenye kutoa pesa kwa mtu niko makini sana
labda tu kwenye kuitumia mwenyewe hapo ndo nakua careless
helaa yangu niko tyr nkale vzr kuliko kumhonga mwanamke
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasema?hivi kwa mfano nimekutongoza hata mchezo hujanipa umeanza kuniomba hela nikakupa siku ya kwanza yapili nikastuka nikawa kimya. ukaendelea kuninipigia sim na text sikujibu.unaendelea tena na tena. nakuelewaje mtu kama wewe?
nimekutolea mfano naona umestuka bibie.Unasema?
siyo wewe.Unasema?
Siku hizi kama mwanamke hakutaki.na hataki.muachane kwa visa yeye anaomba hela tu
Yaani anaomba hela
Na kuomba helaaaa
Wewe mbona huniombi?
hutaki nikimbie?
Na kuomba helaaaaaa
Usipokimbia wewe kidume
Shida sio kutoa hela shida ni quality yako inaendana na hiyo hela?huwezi nunua kiatu cha laki 3 mtumbani
Sent using Jamii Forums mobile app


Mungu anakuonanimekutolea mfano naona umestuka bibie.
sijauelewa bana fafanuaHahaaa,we binti jeuri saaana yaan. Ngoja nije PM nkuambie kituUkiniomba tigo na mimi nakuomba wote si tunazo, nakuanza wewe kukula na chupa ya bia alafu ndo uje kwangu nyambafuuu.
Kuna mtu nilimuomba 300k akajichunisha baada ya siku 3 akarudi anajichekesha kama hakuona ile text, nimefukuzia mbali, unakuwaje karibu na mtu asiye na msaada.

Mbona hawaolew sasa,..kulia lia tuu,..na skuhiz idad ni kubwa had inatisha,..acha mjipe moyo,tutaoa wanaojielewa tuUnadhani mwanaume ambae anataka awe mune anamfanyia hivyo? Yaani ukiwa unapigwa mizinga ujue mwenzio walaaaah hana mzuka wa ndoa na wewe
Unapigwa mizinga mpaka ukiona namba yake unapata kizunguzungu