mali ya mungu
Senior Member
- Aug 25, 2017
- 109
- 108
Mimi nilizani Kenya shillings/=Hahahahaaaa..!!! Nimeshangaa mwenyewe jamaa kaombwa buku tatu amekuja kupost JF..!!! Kuna watu hii mambo ya 'K' inawachanganya sana hawaelewi ni namba ipi wanaiongelea.
Sent using Jamii Forums mobile app

