Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,120
- 4,788
Kuna jamaa yangu yeye kaunda kanuni yake. Akitongoza msichana na akaleta ishu za kuomba pesa basi huyo msichana hujibiwa kwa kuomba papuchi, jibu la huyo msichana juu ya kuombwa kwake papuchi ndo litaamua huo mtanange. At first sikuwa namuelewa ila sasa nimeanza kumuelewa maana mambo ya kuombana 300K from no where, hayavumiliki, na nadhani ndiyo njia inayopaswa kufuatwa na wanaokumbana na mitihani hii. Mfano wa mawasiliano huwa hivii..
Girl : Baby samahani naomba nisaidie laki nina shida
Jamaa : Naomba papuchi nina hamu kwelikweli
Dada : Hee, mapema yote hii jamani. Hata hatujajuana
Jamaa : Nawe mapema yote hii unaomba pesa hata hatujajuana vizuri.
So hapo ni kazi kwa huyo bi dada, na akitaka kujifanya mjanja huishia kukopwa tuu na mzigo unaliwa, Maana huyo jamaa ni player wa kiwango cha lami, hahaahaaa.
Jamaa kadevelop principle zake za ajabuajabu ila zinamsaidia katika hizo harakati zake..! Hizi ni baadhi,
1. Usimlipe mtu mshenzi kwa ustaarabu, ushenzi hulipwa kwa ushenzi.
2. Kama unanunua kitu ni sharti ukione kwanza ndo ukilipie, usije lipia zaidi ya thamani ya kitu husika.
huwa ananifurahishaga sana huyu jamaa.
Girl : Baby samahani naomba nisaidie laki nina shida
Jamaa : Naomba papuchi nina hamu kwelikweli
Dada : Hee, mapema yote hii jamani. Hata hatujajuana
Jamaa : Nawe mapema yote hii unaomba pesa hata hatujajuana vizuri.
So hapo ni kazi kwa huyo bi dada, na akitaka kujifanya mjanja huishia kukopwa tuu na mzigo unaliwa, Maana huyo jamaa ni player wa kiwango cha lami, hahaahaaa.
Jamaa kadevelop principle zake za ajabuajabu ila zinamsaidia katika hizo harakati zake..! Hizi ni baadhi,
1. Usimlipe mtu mshenzi kwa ustaarabu, ushenzi hulipwa kwa ushenzi.
2. Kama unanunua kitu ni sharti ukione kwanza ndo ukilipie, usije lipia zaidi ya thamani ya kitu husika.
huwa ananifurahishaga sana huyu jamaa.