Tangu aniombe hela yule dada nimekata mguu

Tangu aniombe hela yule dada nimekata mguu

Hujawahi kunyonywa sehem zote wewe. Au unapigwa mashine km unaguswa guswa hdi uombe pause.
Utatoa pesa mwenyewe. Kila saa utatuma mameseji. Bebi uko wapi. Ushatoka job. Bebi nakumisa
HAJUI KAZI YA ULIMI HUYU.....ukiwekwa maeneo..jumlisha na matumizi ya BUKANGA(kinyume cha kibamia)....we adi kitanda unahonga na urithi wa mashamba yoootee unatoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujua hizi hisabati za 300K.
 
Kuna mtu nilimuomba 300k akajichunisha baada ya siku 3 akarudi anajichekesha kama hakuona ile text, nimefukuzia mbali, unakuwaje karibu na mtu asiye na msaada.
Nyie mnatoa msaada gani? fanyeni kazi dada zangu ili mpate vipato vyenu.sio kuwa ombaomba kwa wanaume
 
Teh mkuu wanawake wa siku hizi wananjia nyingi saana za kukukataa. Hawasemi sikutaki au sitaki mazoea ila ni mwendo wa makombora mazito mazito kama Yale ya Korea.

Wanaakili sana hao viumbe.

Unajitoa mwenyewe.....
Hahahaaaa nimecheka sana ati makombora mazitovkama ya korea hahaaa dah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu usiyempenda na anakuganda unachunguza kipato chake unamuomba pesa ya kipato chake cha miaka 2 harudiii. Kama ni mwalimu unamuomba milioni tu hakika atakublock tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom