Tangu aniombe hela yule dada nimekata mguu

Tangu aniombe hela yule dada nimekata mguu

Huna mapenzi nae jamaa unataka hela zake tu na unaficha makucha. Mtu anakuoa anakuweka ndani bado unataka kumkomoa, shida ni nini?
Kaka mkubwa upo?longtime no see
 
kama hauna hela Tanzania hii,mapenzi utayasikia kwenye chombeza time tu
 
mijanaume ya sasa haina hela.Ila sometimez na sisi wadada tunazidi....utafikiri baba yako huyo! Mi niliyenae mpaka nimefanikiwa kuniposa ni hapo tu....anazo ila nimechunia kama sizioni maana najua akiniweka ndani nitazila mpaka aombe poo.Baba fulani,"nitumie laki 1 mtoto pampers zimeisha,kumbe zipo tele"
Inategemea

Mwengine hakupi sababu mchoyo

Akikuoa anajua kama uliweza kukava majukumu utaendelea kukava... utalipa kodi...utasomesha...utamlisha na kumvisha
 
mijanaume ya sasa haina hela.Ila sometimez na sisi wadada tunazidi....utafikiri baba yako huyo! Mi niliyenae mpaka nimefanikiwa kuniposa ni hapo tu....anazo ila nimechunia kama sizioni maana najua akiniweka ndani nitazila mpaka aombe poo.Baba fulani,"nitumie laki 1 mtoto pampers zimeisha,kumbe zipo tele"
Inategemea

Mwengine hakupi sababu mchoyo

Akikuoa anajua kama uliweza kukava majukumu utaendelea kukava... utalipa kodi...utasomesha...utamlisha na kumvisha
 
Siku hizi kama mwanamke hakutaki.na hataki.muachane kwa visa yeye anaomba hela tu


Yaani anaomba hela

Na kuomba helaaaa


Na kuomba helaaaaaa


Usipokimbia wewe kidume
ni kweli kabisaa.ila mimi kuna kitu kinanishangaza.nimeamua kukuchunia kwanini uendelee kunisumbua kwenye sim unataka nini tena na lengo lako nishakuelewa kuwa hunitaki? Wanawake mna mambo
 
Yani mapema hivyo,tena ungeshangaa umempa mpunga alafu akalala mbele bila hata kukupa papuchi
 
Huna mapenzi nae jamaa unataka hela zake tu na unaficha makucha. Mtu anakuoa anakuweka ndani bado unataka kumkomoa, shida ni nini?
Ndo maisha kaka,siyo kumkomoa itabidi atimize majukumu.Usikasirike Mkuu tunawategemea sana...hamjui tu
 
Huna mapenzi nae jamaa unataka hela zake tu na unaficha makucha. Mtu anakuoa anakuweka ndani bado unataka kumkomoa, shida ni nini?
Pesa yenyewe atakula nani kama si mwanae Mkuu!!?
 
Ndo maisha kaka,siyo kumkomoa itabidi atimize majukumu.Usikasirike Mkuu tunawategemea sana...hamjui tu

Kuomba laki moja ya pampers wakati kuna pampers ndani ni kumkomoa sio kutimiza majukumu maana jukumu la kununua pampers ameshatimiza
 
Kuomba laki moja ya pampers wakati kuna pampers ndani ni kumkomoa sio kutimiza majukumu maana jukumu la kununua pampers ameshatimiza
Akiba Rogie....nitanunua chupi,bra,taiti...freestyle ped.Vyote nikuambie nataka hela?
 
mijanaume ya sasa haina hela.Ila sometimez na sisi wadada tunazidi....utafikiri baba yako huyo! Mi niliyenae mpaka nimefanikiwa kuniposa ni hapo tu....anazo ila nimechunia kama sizioni maana najua akiniweka ndani nitazila mpaka aombe poo.Baba fulani,"nitumie laki 1 mtoto pampers zimeisha,kumbe zipo tele"
Siyo rahisi hivyo kama hamjajenga mazoea ya kusaidiana kabla ya ndoa ukiingia huko usidhani mambo yatakuwa rahisi hivyo.
Na kwa nini umchune mumeo ?
 
Maisha yenyewe ya kugawa 300k kama njugu yako wapi usawa wa huyu jamaa.
 
Back
Top Bottom