Inategemeamijanaume ya sasa haina hela.Ila sometimez na sisi wadada tunazidi....utafikiri baba yako huyo! Mi niliyenae mpaka nimefanikiwa kuniposa ni hapo tu....anazo ila nimechunia kama sizioni maana najua akiniweka ndani nitazila mpaka aombe poo.Baba fulani,"nitumie laki 1 mtoto pampers zimeisha,kumbe zipo tele"
Inategemeamijanaume ya sasa haina hela.Ila sometimez na sisi wadada tunazidi....utafikiri baba yako huyo! Mi niliyenae mpaka nimefanikiwa kuniposa ni hapo tu....anazo ila nimechunia kama sizioni maana najua akiniweka ndani nitazila mpaka aombe poo.Baba fulani,"nitumie laki 1 mtoto pampers zimeisha,kumbe zipo tele"
Kaka mkubwa upo?longtime no see
ni kweli kabisaa.ila mimi kuna kitu kinanishangaza.nimeamua kukuchunia kwanini uendelee kunisumbua kwenye sim unataka nini tena na lengo lako nishakuelewa kuwa hunitaki? Wanawake mna mamboSiku hizi kama mwanamke hakutaki.na hataki.muachane kwa visa yeye anaomba hela tu
Yaani anaomba hela
Na kuomba helaaaa
Na kuomba helaaaaaa
Usipokimbia wewe kidume
hapo hatutaelewana aiseeInategemea
Mwengine hakupi sababu mchoyo
Akikuoa anajua kama uliweza kukava majukumu utaendelea kukava... utalipa kodi...utasomesha...utamlisha na kumvisha
Ndo maisha kaka,siyo kumkomoa itabidi atimize majukumu.Usikasirike Mkuu tunawategemea sana...hamjui tuHuna mapenzi nae jamaa unataka hela zake tu na unaficha makucha. Mtu anakuoa anakuweka ndani bado unataka kumkomoa, shida ni nini?
Pesa yenyewe atakula nani kama si mwanae Mkuu!!?Huna mapenzi nae jamaa unataka hela zake tu na unaficha makucha. Mtu anakuoa anakuweka ndani bado unataka kumkomoa, shida ni nini?
Roho mbaya....hiiiSiku hizi kama mwanamke hakutaki.na hataki.muachane kwa visa yeye anaomba hela tu
Yaani anaomba hela
Na kuomba helaaaa
Na kuomba helaaaaaa
Usipokimbia wewe kidume
Ndo maisha kaka,siyo kumkomoa itabidi atimize majukumu.Usikasirike Mkuu tunawategemea sana...hamjui tu
Akiba Rogie....nitanunua chupi,bra,taiti...freestyle ped.Vyote nikuambie nataka hela?Kuomba laki moja ya pampers wakati kuna pampers ndani ni kumkomoa sio kutimiza majukumu maana jukumu la kununua pampers ameshatimiza
Walaa ujue hajakupenda anatafuta namna ya kukukimbiza.gold diger, usipompa ataona humpendi kumbe mlitofautiana malengo
Siyo rahisi hivyo kama hamjajenga mazoea ya kusaidiana kabla ya ndoa ukiingia huko usidhani mambo yatakuwa rahisi hivyo.mijanaume ya sasa haina hela.Ila sometimez na sisi wadada tunazidi....utafikiri baba yako huyo! Mi niliyenae mpaka nimefanikiwa kuniposa ni hapo tu....anazo ila nimechunia kama sizioni maana najua akiniweka ndani nitazila mpaka aombe poo.Baba fulani,"nitumie laki 1 mtoto pampers zimeisha,kumbe zipo tele"
si ndo wajibu wao....si ndo kama ivo ukiwaomba before wanakimbia.Tufanyaje sasa?Siyo rahisi hivyo kama hamjajenga mazoea ya kusaidiana kabla ya ndoa ukiingia huko usidhani mambo yatakuwa rahisi hivyo.
Na kwa nini umchune mumeo ?