Tangu aniombe hela yule dada nimekata mguu

Tangu aniombe hela yule dada nimekata mguu

Akiba Rogie....nitanunua chupi,bra,taiti...freestyle ped.Vyote nikuambie nataka hela?

Kwa mume mwenye kufahamu majukumu yake anatoa pesa ya matumizi home na anampa mkewe pesa ya matumizi yake binafsi factored in hayo yote uliyoyataja.
 
Hahahahaaaa..!!! Nimeshangaa mwenyewe jamaa kaombwa buku tatu amekuja kupost JF ..!!! Kuna watu hii mambo ya 'K' inawachanganya sana hawaelewi ni namba ipi wanaiongelea.
300k =300,000

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
Kuna mtu nilimuomba 300k akajichunisha baada ya siku 3 akarudi anajichekesha kama hakuona ile text, nimefukuzia mbali, unakuwaje karibu na mtu asiye na msaada.
Hiv kwanin usitafte zako,tuanzie hapo..y unaomba omba,hiv hamuonag aibu,..mna exchange sex na pesa sasa mnatofaut gan na wanaokaa kona baa
 
Maajabu hayaishi! Sio tu wanawake jamani! Siku hizi wapo wanaume kazi yao kuomba pesa kwa wanawake! Mara ooh nirushie elfu 5 mara ooh naomba elf 10!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi kama mwanamke hakutaki.na hataki.muachane kwa visa yeye anaomba hela tu


Yaani anaomba hela

Na kuomba helaaaa


Na kuomba helaaaaaa


Usipokimbia wewe kidume
Na ndomana hatuwaoi,tunapiga na kaucha wanazeeka,si wanapenda pesa,..dawa ndio hyo,tutahonga hzo lak lakin kuoa sahau
 
si ndo wajibu wao....si ndo kama ivo ukiwaomba before wanakimbia.Tufanyaje sasa?
Tafuta zako,..ndomana sie tunawapaga hvo vi laki lakin lazima tukutindue marinda.kiroho safi
 
mijanaume ya sasa haina hela.Ila sometimez na sisi wadada tunazidi....utafikiri baba yako huyo! Mi niliyenae mpaka nimefanikiwa kuniposa ni hapo tu....anazo ila nimechunia kama sizioni maana najua akiniweka ndani nitazila mpaka aombe poo.Baba fulani,"nitumie laki 1 mtoto pampers zimeisha,kumbe zipo tele"
Pampers za laki? atakwambia mpeleke mtoto hospitali anaharisha.
 
Ayseee kuna watu wana vipaji vya kupiga makombora lol

Mimi rafiki yangu wakawaida ntakupuna tu ila kama Nina relationship na wewe siwez kuomba hahahah wajuvi naombeni training

invest what you are willing to lose
 
Siku hizi kama mwanamke hakutaki.na hataki.muachane kwa visa yeye anaomba hela tu


Yaani anaomba hela

Na kuomba helaaaa


Na kuomba helaaaaaa


Usipokimbia wewe kidume
lat week nilipoteza pochi yenye simu yangu yenye line ya mpesa na kadi ya benk na kila kitu
nina mkaka rafiki yangu mzuri tu nikamuomba hela hadi leo hatuongei tena mwenzangu.watu wanathamini pesa sana kumbe yaani .
 
si ungempa kama unayo? uone part two itakuaje.labda ungepewa wewe je?
 
Hahahaha

Tena heri umemjua mapema

Dawa mpotezee tu
lat week nilipoteza pochi yenye simu yangu yenye line ya mpesa na kadi ya benk na kila kitu
nina mkaka rafiki yangu mzuri tu nikamuomba hela hadi leo hatuongei tena mwenzangu.watu wanathamini pesa sana kumbe yaani .
 
Kuna mtu nilimuomba 300k akajichunisha baada ya siku 3 akarudi anajichekesha kama hakuona ile text, nimefukuzia mbali, unakuwaje karibu na mtu asiye na msaada.
Elfu tatu au laki tatu.....kama iyo ya pili ni mshahara huo

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
mijanaume ya sasa haina hela.Ila sometimez na sisi wadada tunazidi....utafikiri baba yako huyo! Mi niliyenae mpaka nimefanikiwa kuniposa ni hapo tu....anazo ila nimechunia kama sizioni maana najua akiniweka ndani nitazila mpaka aombe poo.Baba fulani,"nitumie laki 1 mtoto pampers zimeisha,kumbe zipo tele"
Na utaolewa soon

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Back
Top Bottom