Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,087
- 6,392
Nikome mimi tena!??
ndio wewe hapo...tuache tujinafasi....
Nikome mimi tena!??
Tukitoka beach tunaenda kupumzika mahali......
ndio wewe hapo...tuache tujinafasi....
Vin Diesel utakuwa na mimi au Madame B taja
....atuache kbs.
Jino moja mswaki wa nini?
Lunch time
Vin Diesel utakuwa na mimi au Madame B taja
eti kibogoyo nae anadai dawa ya meno imepanda bei....si kichekesho hiki...
Vin Diesel umeyataka
Kwani jibu hukuliona au unataka uhakika?
Honey,switi Vin Diesel hebu njoo umjibu.
Vin Diesel nafikiri chep cha mwenyekiti wa penda penda kinakufaa wewe Mamndenyi nimekumiss wewe hebu pokea hiyo mwahaaaa
jibu nimeshatoa ila naona hajiamini huyu......