Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
sasa my dear....mapenzi hayapelekwi hivi ujue....
kwenda sikutaki tena....
nilikuwa nataka tuibe leo ila ushanitibua ishiaaaa!!!!!
sasa my dear....mapenzi hayapelekwi hivi ujue....
kwenda sikutaki tena....
nilikuwa nataka tuibe leo ila ushanitibua ishiaaaa!!!!!
Yaani uko na hawara mmoja afu unamtuma akutongozee mwingine unadhani ni akili hiyo!?
punguza hasira na twende tukapashe kiporo.....umesahau mambo yetu?
nikipataga tu hasira zinayeyuka sijisikii tena, niache!!!!!
Ishia zako ushantoa mood mie!!!!!!!!
yani we mwanaume ni pasua kichwa......
Afu wewe tangu ulivyosema jana utanitafuta hadi sasa kimya why, afu mbona unaongea na Vin Diesel huku unatafuna nyasi, tatizo ni nini!? na saa tisa si ndoa au!??
Afu wewe tangu ulivyosema jana utanitafuta hadi sasa kimya why, afu mbona unaongea na Vin Diesel huku unatafuna nyasi, tatizo ni nini!? na saa tisa si ndoa au!??
tulizana mpenzi....baadae mhemko ukikurudia niambie....nitakuwa serena
Badae ntakuwa beach na Slave
Hivi unajua kuwa huyo binti unayeongea nae baada ya saa moja ijayo anafunga ndoa!? au unajichekelesha tu..., afu wewe subiri nikamilishe habari ya hizi ndoa nije kwako
uwafanyie ule mchezo wako, mambo ya u anko seya hayo
Ananambia sijui anataka anipe mchango ndo nkawa namwambia kachelewa!!!!
ukitoka basi utanicheki.....nitakusubiri.....
Shem usithubutu hata kumpa mkono huyo Vin Diesel, hafai afu anatumia madawa