Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,087
- 6,392
kumbe hata yeye!!!! hujui huyu ni shoga angu? ishia zako na namba zangu sikupi feruzi wewe........
Sasa yeye kuwa namba moja huoni ni jambo la kheri.....we naeeeeee
kumbe hata yeye!!!! hujui huyu ni shoga angu? ishia zako na namba zangu sikupi feruzi wewe........
Za saizi shoga!!!!!
mwambie shemeji aache kuchungulia mambo ya majirani.....
ha ha ha....bora uachane nae tule kwa nafasi....
Ndo dawa yako, anajua akiongelea pembeni huchelewi kumkopa
We nawe Kicheche!!
Ndo dawa yako, anajua akiongelea pembeni huchelewi kumkopa
Umesema vizuri kumuita Mr. wako, ungethubutu kumuita mumeo ungenijua
Umesema vizuri kumuita Mr. wako, ungethubutu kumuita mumeo ungenijua
Sasa yeye kuwa namba moja huoni ni jambo la kheri.....we naeeeeee
Yaani uko na hawara mmoja afu unamtuma akutongozee mwingine unadhani ni akili hiyo!?
Yaani uko na hawara mmoja afu unamtuma akutongozee mwingine unadhani ni akili hiyo!?
Za sahz nazijua mwenyewe.
Haya nambie cha kumfata fata Mr. wangu kitu gani?
Unataka kumwambia nini?
Sema hadharani kabla ushoga haujafa.
Ishia zako ushantoa mood mie!!!!!!!!
yani we mwanaume ni pasua kichwa......