TANGAZO ZITO: Mwenyekiti Baba V nimerudi

TANGAZO ZITO: Mwenyekiti Baba V nimerudi

Hivi mnajua nilipokuwa selo nimejifunza jinsi ya kupiga ban..!? we jiongelesheee.... afu utapata majibu yako. sina adabu we
Baba V kwani kumbembeleza Mama v ni kosa la jinai aise si alikuwa analia nikawa namfuta machozi na kumpiga kiss ili atulie aise
 
Last edited by a moderator:
nadhani sehemu hii hainihusu ngoja nitoke naona mnazungumza kwa mafumbo mie sielewi maana yake.
nipo nje nacheza na rafiki zangu huku.
 
nyuma ya nyumba mnafanya nini huko?

Ndo mila za kumkaribisha mgeni aliyetoka jela..., ni utamaduni tu. Si unajua mtu akitoka jela, kitanda kinaweza vunjika ndugu...
 
Back
Top Bottom