HOPE man
Member
- May 23, 2019
- 62
- 33
Kwa mliokwisha fanya application sorry, niulize...hizi barua zinapita sehem 3 ? Means kwa mkurugenzi, weo na veo au inakuaje.Oyaa mbona hakuna feedback intavuu ilikuaje
Kwa mliokwisha fanya application sorry, niulize...hizi barua zinapita sehem 3 ? Means kwa mkurugenzi, weo na veo au inakuaje.Oyaa mbona hakuna feedback intavuu ilikuaje
Wewe😀Jamani si umesema mpaka connection lkn why unahangaika jamni![]()
Moja, unachukua barua ya utambulisho kutoka mtaa unaoishi kwa mjumbe,Kwa mliokwisha fanya application sorry, niulize...hizi barua zinapita sehem 3 ? Means kwa mkurugenzi, weo na veo au inakuaje.
Duh..Asante nilidhani naandika mmMoja, unachukua barua ya utambulisho kutoka mtaa unaoishi kwa mjumbe,
Baada ya hapo unachukua barua hiyo unaipeleka serikali za mtaa.
Ukifika pale, Ile ya mjumbe wanaichukua wanakupa yakwao... Ambayo utaipeleka kwa mtendaji.
Ukifika kwa mtendaji, anachukua barua ya serikali za mtaa alafu anaweka saini yake Ile kupitia kwa mtendaji.
Baaada ya hapo, unaipeleka kwa mkurugenzi manispaa.
Na wewe lazima uandike barua ya kuomba kaziDuh..Asante nilidhani naandika mm
Ni kawaida kwa awamu ya 6 hiiKama hauna connection hupati
Mmekubali kiaina sio! Leteni hizo bahasha za Ef 30 niwapenyeze sasa.Tusemeni tu ukweli!!
Hii kama kuna mtu yuko Manispaa atupe tu mchongo tutamlipa, mana bongo bila mchongo hutoboi
Link wanakitumia wapi kwny sms ya kawaida? Whatapp? Au kwny emailHakuna Intavuu braza.
kulikua na link za usajili wa online kwa waliochaguliwa.
kwahiyo kilichobaki majina yabandikwe halmashauri watu wakasome waende semina waanze kazi
Kwa namba yako ya simu!Link wanakitumia wapi kwny sms ya kawaida? Whatapp? Au kwny email
Vipi qeenbeby yametoka?....
Ata sielewi, nimepitia tu apa Ili nifahamu kituVipi qeenbeby yametoka?
Morogoro mjini cjui kuna tatzo gan ad leo tangazo bdo alijatokaAta sielewi, nimepitia tu apa Ili nifahamu kitu
moshi vipiibaadhi ya mikoa bado awajatangaza nmefatilia ata morogoro mambo bado
utanijulisha na mimi.. kwani hakuna sehemu wanapost tuwe updateNa wa mkoani Moshi ikitokea tafadhl tujulishane
Tembelea official website ya manispaa Husika! Au Instagram account za manispaa mbalimbali utaonautanijulisha na mimi.. kwani hakuna sehemu wanapost tuwe update
Same to tanga CityMorogoro mjini cjui kuna tatzo gan ad leo tangazo bdo alijatoka
Hahahah fanya kweli sasa mda ndio huutupenyeze Braza, tutakupa 1/2 ya posho za semina
Najua hatushindwani braza
Wakitunyima waturudishie hata passport size zetu tuzitumie kwa matumizi mengine.


we jamaaa umejua kunifurahisha