pombesigara0
Member
- Nov 5, 2021
- 21
- 14
AhsantehHizi nafasi zinatoka halmshauri zote. View attachment 2118735
AhsantehHizi nafasi zinatoka halmshauri zote. View attachment 2118735
Umeona ukiweka page zote mbili tutaiba nafasi yako?Hizi nafasi zinatoka halmshauri zote. View attachment 2118735
Ni kweli.La kitapeli si wangeweka email au simu ya kuwanyongea?
Naamini ni la ukweli.
Msiogope tumeni, hamfungwi
Mkuu naomba unisaidie kama unaweza kupata la ilalaNi kweli.
Na hili iko hivi hivi nchi nzima.
Yamebandikwa kwenye ofisi za Watendaji Kata. Pitia huko utaonaMkuu naomba unisaidie kama unaweza kupata la ilala
Unapeleka kwny ofisi ya halmashauri ya manispaaukishaandika unatuma kupitia posta au unapeleka ofisi za manispaa?
Yametoka manispaa 2 tu, ubungo na temeke.Yamebandikwa kwenye ofisi za Watendaji Kata. Pitia huko utaona
Mkuu, Hilo Ni zoezi la kitaifa na linaanza tarehe 1/3.Yametoka manispaa 2 tu, ubungo na temeke.
Huwa mnasema hivihivi kila zikitoka nafasi kama hizi sijui ndio kupunguza competition ama kitu ganiKama hauna connection hupati
Mkuu wewe tuma tu. Kama una connection itumie ila usiache kutuma kisa huna mtu wa kukufanyia mchongoTusemeni tu ukweli!!
Hii kama kuna mtu yuko Manispaa atupe tu mchongo tutamlipa, mana bongo bila mchongo hutoboi
Tumetuma leo ila kwa hali ile ndugu yangu mi siwafichi watu bila.mchongo chance ni 20% ..Mkuu wewe tuma tu. Kama una connection itumie ila usiache kutuma kisa huna mtu wa kukufanyia mchongo
Hiyohiyo asilimia 20 inatoshaTumetuma leo ila kwa hali ile ndugu yangu mi siwafichi watu bila.mchongo chance ni 20% ..
yani kwanzia pale barabarani mpaka unaingia kwa haraka haraka hata wakiita watu 700 wangetimia.. na hio ni kwa mda huo ambao tumepita na gari dk 1 tu
je, kutwa nzima? je kesho?
Yeah ni kweli Mungu akiwa upande wetu ni nani alie juu yetu.Hiyohiyo asilimia 20 inatosha
Process in zilezile labda kwenye kumbukumbu nambaJamani mwenye barua ya manispaa ya ilala pls atume tuone jinsi ya kuomba