Kazi za hivyo huwa rahisi kupata kama una ndugu,rafiki,refa kati ya manispaa au ccm,ila ccm ndio mchawi aisee! Nilipata nafasi kama hiyo ila ilikuwa ya karani wa sensa mwaka 2012 kuna mzee alikuwa kiongozi wa ccm ndio aliniunganishia nilikuwa sina elimu kabisa ila kuna watu walikuwa wamehitimu elimu ya chuo kikuu lakini walikosa,tulienda kufanya kazi na walimu,manesi {wazee}na watoto wengine walikuwa kidato cha 3,wazee wengine hata kuandika hawawezi ila walipata nafasi....Kama una mtu unamfahamu akipita mbele hizo hela unakula mapema sana. Nasubiria huku mkoani nilipo ikitokea naomba kupitia kivuli cha chama tawala tena ila siipendi ccm,lakini waliovaa kijani mioyoni wana tuinua!!