Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,453
kinondoni deadline leoNaomba la halmashauri ya kinondon kama unalo
kinondoni deadline leoNaomba la halmashauri ya kinondon kama unalo
Afu wanasema watu hawataki kazi ooh leten kazi muone ka watu hawatakiMambo yalikuwa ivyo Ubungo,ila hapo ktk folen kuna wengine walitoka kigambon, wengi e Temeke, wengine Kino yaaan wakipata huku na huku sijui watajigawa vipi
View attachment 2121234
View attachment 2121235
Nakukubali watu wa kaziMambo yalikuwa ivyo Ubungo,ila hapo ktk folen kuna wengine walitoka kigambon, wengi e Temeke, wengine Kino yaaan wakipata huku na huku sijui watajigawa vipi
View attachment 2121234
View attachment 2121235
Wewe punguaniMnakatisha tamaa sana wenzetu, mpumbavu wewe.
Naomba nijibiwe wana jamviNaomba kuuliza hili zoezi la sensa linafanyika kila mkoa na mwezi wake au likianza zoezi mwezi fulani ni nchi nzima
Mkuu mikoa inatofautiana muda wakufanya hili zoezi la sensa nikimaanisha mwez wa kufanya sensa mana hizi nafasi huku tanga bado hazikutangazwa hadi dk hii au wameshaleta watu waoamna mikoa mingine bado boss
Mkuu unataarifa kuhusu tanga maana naona mambo ni kimya hadi mida hii .Mkuu, Hilo Ni zoezi la kitaifa na linaanza tarehe 1/3.
Hakuna Halmashauri ambayo haishughulikii Hilo suala.
Mimi siko Dar lakini huku niliko pia Hilo zoezi lipo na watu wanatuma maombi.
Kuna maombi ya aina mbili.
Hao wa taarifa za Anwani za makazi pamoja na wale mafundi wanaoweza kuweka vibao vya Mitaa.
Linaanza mwezi gani mkuu
Boss hizo nafasi zilizotangazwa ni nafasi za kazi za muda kwa ajili ya kuandikisha anuani za makazi na postikodi.Mkuu mikoa inatofautiana muda wakufanya hili zoezi la sensa nikimaanisha mwez wa kufanya sensa mana hizi nafasi huku tanga bado hazikutangazwa hadi dk hii au wameshaleta watu wao
Zoezi la uandikishaji wa anuani za makazi na postikodi ni tarehe 1-March linaanza.Linaanza mwezi gani mkuu
Boss tembelea ofisi ya serikali ya mtaa ulipoMkuu unataarifa kuhusu tanga maana naona mambo ni kimya hadi mida hii .
Tayari nimefika kwa mtendaji kata kaniambia bado sasa hofu yangu mbna halmashauri nyengine tayari na diedline ni hizi 18 had 20 na zoezi linafanyika mwezi wa 3 alafu hakuna jipya hadi sasa

baadhi ya mikoa bado awajatangaza nmefatilia ata morogoro mambo badoTayari nimefika kwa mtendaji kata kaniambia bado sasa hofu yangu mbna halmashauri nyengine tayari na diedline ni hizi 18 had 20 na zoezi linafanyika mwezi wa 3 alafu hakuna jipya hadi sasa
Isijekuwa danganya Toto![]()
Umeshasema bila connection hupati sasa unauliza za nini tena? Maana ni kwa swali hili ni wazi hata we mwenzetu huna connectionNaomba nijibiwe wana jamvi
Nipo mbioni kupata connection soonUmeshasema bila connection hupati sasa unauliza za nini tena? Maana ni kwa swali hili ni wazi hata we mwenzetu huna connection