Mkuu tuma ya tanga ukiipata
Mkuu tuma ya tanga ukiipat
Mkuu tuma ya tanga ukiipata
Tuna na la dodomaJamani si umesema mpaka connection lkn why unahangaika jamni [emoji1787]
Unachekesha sana dogo, aliyekwambia mwenyekiti na mtendaji anabaki na kopi ni nani?? Usiongee vitu usivyojua. Usikute unaongea tu hapa wakati hata kuomba hujaombaHizi kazi hakikisha unajuana na mwenyekiti na mtendaji kata wa maeneo yako husika ...hawa wanabaki na kopi za waombaji na ndio wanapeleka majina kwa mkuregenzi kule ....mkuregenzi Hana muda wa kuchukua form zako kuaangalia barua zenu ....tuma barua lakin komaa na mwenyekiti na mtendaji wa kata yako ...pambana kaa nae karibu ongea nae ikiwezekana mnunulie hata soda au k vant jina lako litatumwa kwa mkurugenz I na utazingatiwa mapema Sana ...
Hii nchi ni ngumu siku hizi inaajiri kwa mjuano na connection zaidi na ndio nature , hakuna wa kutoa huu mfumo wa kuajiri kwa mjuano ...kazi kwenu wanandugu ....
Funguka vzr.Si kupingi kwa niliyoyaona ni Hatari.
Leo nilikiwa naenda kufosi tenda ya kikampuni changu uchwara. Aisee wazazi msomeshe watoto wenu kozi za Afya tu.
Daah..suala la ajira nchi hii sio mchezo.Mambo yalikuwa ivyo Ubungo,ila hapo ktk folen kuna wengine walitoka kigambon, wengi e Temeke, wengine Kino yaaan wakipata huku na huku sijui watajigawa vipi
View attachment 2121234
View attachment 2121235
Nimeshajibu mbna huko juuJamani si umesema mpaka connection lkn why unahangaika jamni [emoji1787]
Unachekesha sana dogo, aliyekwambia mwenyekiti na mtendaji anabaki na kopi ni nani?? Usiongee vitu usivyojua. Usikute unaongea tu hapa wakati hata kuomba hujaomba
Walishakua na watu wao itakuaWatu mna roho mbaya.Yaani deadline keshokutwa Tangazo linatumwa Leo (Just kidding [emoji4])
Ni utaratibu wa baadhi ya ofisi ,nakubaliana na wewe .ila si zote wanafanya hivyo.Huna unalolijua wewe na inaonekana hujaomba hizi kazi kwa hiyo kaa kimya ...
Unajua baada ya kutoka kwa afisa mtendaji kata unatoa copy ya barua yako ,yeye anabaki na photocopy na wewe unabaki na og unaambatanisha na vyet vyako ndio unapeleka kwa mkurugenz ? Au hujui huo mchakato .....Mimi naongea kwa experience wewe unaongea kwa kujifanya unajua kumbe hujui ....
Huyu mwanamama ni mpumbavu.Umeshasema bila connection hupati sasa unauliza za nini tena? Maana ni kwa swali hili ni wazi hata we mwenzetu huna connection
Laki 4 mshahara wa mwezi.Kwenye palipo ufafanuzi elfu 30 ni hela ya nini na laki 4 ni ya nini
Mbona sentensi imejifafanua kabisa mkuuKwenye palipo ufafanuzi elfu 30 ni hela ya nini na laki 4 ni ya nini
Khaa eti madogo, kwa hiyo sie wazee tulioomba unatuchukuliajeOkay asante nimeelewa, ILa hawa madogo wanaomba wange waangalia kwa jicho la pili, kusudi baada ya kufanya izo kazi KWA mudA na kurudi mtaani tena kusota bora Wange wapa ajira, tuu