Tangazo la kazi, Manispaa ya Ubungo

Tangazo la kazi, Manispaa ya Ubungo

Kuna mtu yupo kule alinipa taarifa kuwa watu walio apply kwa manispaa ya ubungo ni zaidi ya 5000 na nafasi ziko 200 tu.

Watu wanapeana zaidi uvccm na kama una connection na wakubwa.
 
Nitumie ya jiji kama unayo
Usipende kutafuniwa!!!
Usipende Kuomba samaki, omba namna ya kupata samaki(kuvua)
Nenda official website ya manispaa husika, au Instagram account ya manispaa husika.
 
Usipende kutafuniwa!!!
Usipende Kuomba samaki, omba namna ya kupata samaki(kuvua)
Nenda official website ya manispaa husika, au Instagram account ya manispaa husika.
Sasa ulikuwa unaniuliza unitumie ili unishushue? Kwendraaa
 
Matokeo huwa yanawekwa wapi?
Kwny website?
Yanabandikwa sehemu au?

Wenye kujua source watuambie tuwe tunafatilia huko kwny source sio kurushana roho

Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom