Tangazo la kazi, Manispaa ya Ubungo

Tangazo la kazi, Manispaa ya Ubungo

Hizi kazi hakikisha unajuana na mwenyekiti na mtendaji kata wa maeneo yako husika ...hawa wanabaki na kopi za waombaji na ndio wanapeleka majina kwa mkuregenzi kule ....mkuregenzi Hana muda wa kuchukua form zako kuaangalia barua zenu ....tuma barua lakin komaa na mwenyekiti na mtendaji wa kata yako ...pambana kaa nae karibu ongea nae ikiwezekana mnunulie hata soda au k vant jina lako litatumwa kwa mkurugenz I na utazingatiwa mapema Sana ...


Hii nchi ni ngumu siku hizi inaajiri kwa mjuano na connection zaidi na ndio nature , hakuna wa kutoa huu mfumo wa kuajiri kwa mjuano ...kazi kwenu wanandugu ....
Hapa umemaliza kila kitu mkuu..
Anaetaka kufanikiwa atafuata huu ushauri..
 
Majibu manispaa ya kigamboni muda huu..
IMG_20220222_205130.jpg
 
Tanga city mambo yameenda kimya kimya bila kutolewa tangazo tena toka mwezi uliopita walishaweka watu wao hizi nafasi . .nyie msiokuwa na connection nawapa mfano huo hapo . Kila la kheri
 
Najua kuamini kwa kenge mpaka atoke damu za pua
 
Back
Top Bottom