Tanga miaka ya themanini lazima ulowee

Tanga miaka ya themanini lazima ulowee

Wanajali sana.wanajua kumuhudumia mwanamme kama wake.n.k
Wasafi na mapenzi wanayajua.na kubembeleza pia.
Wana mengi ila haya machache.pia wanajua kupika.
Kupika wanajitahidi sio kila kitu wanajua na alikuwa smart aisee mpaka watu walikuwa wanajua ni ndugu yetu
 
Na sisi ke tuende mkoa gani jamani..maana tanga ni kwa me
 
upata mwanamke wa kitanga hasa awe mdigo akianza kulalamika navile rafudhi yao ya tanga mjini ile rafudhi yao ya kulalamika mm uwa na enjoyig sana yani amekupigia cm umechelewa kupokea akianza kukulalamikia kwa kudeka na ile rafudhi yao aisee burudani sana tanga "mie nakupigia cm weye cm yangu upokei kwa nini eti laaziz wangu wanitesa ujue eti waniweka roho juu mie" uwaga nachekaga sana kimoyo moyo na ile rafudhi yao dah...#mwamboni#chumba geni#
 
Na sisi ke tuende mkoa gani jamani..maana tanga ni kwa me
nyny amna mana nyny mmeubwa automatical mtulizishe sisi na ndiomana nyny mpo wengi sana na ndomana mwanaume afundishwi jinsi ya kuishi na mwanamke hana kichenipart mwanaume ila mwanamke anakichenipart kwaiyo nyny iyo ndo kazi yenu mana mmeletwa duniani ili mtupe sisi burudani tuu mtusaidie na ndomana mko wengi lkn bado amtutoshi japo kuwa mpo wengi. .
 
nyny amna mana nyny mmeubwa automatical mtulizishe sisi na ndiomana nyny mpo wengi sana na ndomana mwanaume afundishwi jinsi ya kuishi na mwanamke hana kichenipart mwanaume ila mwanamke anakichenipart kwaiyo nyny iyo ndo kazi yenu mana mmeletwa duniani ili mtupe sisi burudani tuu mtusaidie na ndomana mko wengi lkn bado amtutoshi japo kuwa mpo wengi. .
Tatizo tuliletwa tuwaburudishe na nyie mtuhudumie ila sasa majukumu tunagawana so na buradani tugawane..
 
Kuna jamaa aliwekewa wali kwenye kisahani kidogo na samaki wa kupaka ..msosi umepambwa na asumini jamaa akala mpaka asumini..kwenye kuoga kashangaa hashua zinawekwa kwenye kisosi zinasuguliwa..hatari sana...
 
Back
Top Bottom