Tanga miaka ya themanini lazima ulowee

Tanga miaka ya themanini lazima ulowee

Hayajakukuta mambo haya
Ila huyu ni mwanamke unaemwambia ivo hawezi kujua, wanawake wa bara hata wanaume walijua ni uchawi unaotumika kumbe sio ni ujanja ujanja tu kama huo, hivi kweli unarudi kwako maji ya kuoga unayatafuta mwenyewe ila kwingine unakuta tayari yashawekwa na makorokoro kibao huko kitandaniasee unadhani kesho utarudi nuumbani?
 
Ila huyu ni mwanamke unaemwambia ivo hawezi kujua, wanawake wa bara hata wanaume walijua ni uchawi unaotumika kumbe sio ni ujanja ujanja tu kama huo, hivi kweli unarudi kwako maji ya kuoga unayatafuta mwenyewe ila kwingine unakuta tayari yashawekwa na makorokoro kibao huko kitandaniasee unadhani kesho utarudi nuumbani?
Mkuu nani aliumbwa kuzoea shida,hakuna uchawi ila unajiroga mwenyewe!
 
Back
Top Bottom