baba glory
JF-Expert Member
- Jan 22, 2016
- 292
- 213
Wacha weeeehahahah mbona bado yapo sana?? tuulize sie tunaekaa tanga





Wacha weeeehahahah mbona bado yapo sana?? tuulize sie tunaekaa tanga





Ila huyu ni mwanamke unaemwambia ivo hawezi kujua, wanawake wa bara hata wanaume walijua ni uchawi unaotumika kumbe sio ni ujanja ujanja tu kama huo, hivi kweli unarudi kwako maji ya kuoga unayatafuta mwenyewe ila kwingine unakuta tayari yashawekwa na makorokoro kibao huko kitandaniHayajakukuta mambo haya




asee unadhani kesho utarudi nuumbani?Karibu ujioneeWacha weeee![]()
Mkuu nani aliumbwa kuzoea shida,hakuna uchawi ila unajiroga mwenyewe!Ila huyu ni mwanamke unaemwambia ivo hawezi kujua, wanawake wa bara hata wanaume walijua ni uchawi unaotumika kumbe sio ni ujanja ujanja tu kama huo, hivi kweli unarudi kwako maji ya kuoga unayatafuta mwenyewe ila kwingine unakuta tayari yashawekwa na makorokoro kibao huko kitandaniasee unadhani kesho utarudi nuumbani?