Tanga miaka ya themanini lazima ulowee

Tanga miaka ya themanini lazima ulowee

hahahahahah hatari sana...., umetubania aisee, yani umetuhadithia jinsi ulivyokamatwa ila kukamatwa kwenyewe umetubania
 
Mwaka 2003 kwa mara nakanyaga Tanga nilikwenda kwenye mradi wa Malaria nikpangiwa kituo Muheza nikapiga kama mwezi ivi then nikahamishiwa Tanga mjini huu mradi nilitakiwa nikae miezi 3 tu nirudi zangu Dar ila yaliyonikuta kule niliapa lazima nikafanye kazi milele Tanga,kaka Tanga mapenzi yapo mpaka kesho na sio wa bara tu yanayowakuta hata sisi wa pwani pia mfano mimi mpaka naenda Tanga nilikua sijawi kuishi bara ila nilivurugwa ila bahati yangu nilikua bado kijana sana ndio naanza hustle hua nikipata nafasi naenda TA nakaa hata wiki ni kati ya sehemu ninazozipenda.
Ulikuwa Ubwari Field Station?
 
Mapenzi matamu sana ya kitanga
Nilienda Moro kusoma A Level wamejaa watoto wa kitanga wazuriiiiiii
Nishajilia kama 8 hivi had nifikishe 20 yrs nafikisha 25😀
 
Back
Top Bottom