Wala haina kifani mkuuTanga raha,mkuu umetisha.
Wanawake ni Maya ya dunia.Mungu Fundi.Wala haina kifani mkuu
Ndembe ndembe nikavalishwa kanzu,barakhashia na kubazi nikaingizwa msikitini , ndio mwanzo na mwisho wa kulikana jina langu kimaroHahahaaa mgosi umeingia uani umekwisha, kweli uliisha
Unatokea Kanda ipi?Unafikiri huyo mdada aliyemuacha aliumiaje......mambo mengine ni ya kujitakia
Wahaya mkuu walikuwepo wakiwapoza vijana na wengine walijifundishia huko kulingana na udomo zege,mchawi mpe mtoto alee,mvua za masika ilikuwa siku 7 none stopYani tanga kuna dabwe la makahaba wakihaya kama Dar?
Unampa mtu akuwekee hela kisa umelala kwake?
Jitu zima unakubali kuogeshwa na kunyolewa vuzi huku unachekelea?
Mvua inapiga wiki nzima ndio inakata?
Hatareeetanga noma sana
Tuwape heshimaWanawake ni Maya ya dunia.Mungu Fundi.
Sawa.Wahaya mkuu walikuwepo wakiwapoza vijana na wengine walijifundishia huko kulingana na udomo zege,mchawi mpe mtoto alee,mvua za masika ilikuwa siku 7 none stop
MmhhhhhTanga kutamu wewe Mimi asili yangu ni huko njombe nimeishi mikoa mingi sana but Tanga is where my heart belong .
Tafuta mwanaume Wa kisambaa akupe mambo .uje utoe ushuhuda.
Mpaka leo haukurudi moshi?Ndembe ndembe nikavalishwa kanzu,barakhashia na kubazi nikaingizwa msikitini , ndio mwanzo na mwisho wa kulikana jina langu kimaro
*tuzi* ninini hiyo mkuuuTanga balaa, ila sasaivi wameongeza na tuzi. unapewa tuzi mpaka basi yani.
Sikurudi tena kuishi ila kuwatembelea ndugu kama kawaidaMpaka leo haukurudi moshi?
Hahahaha msemo wa kinyumbani unanikumbusha mbali sana.DSM munaita tigo au kinyeo*tuzi* ninini hiyo mkuuu
Mmmh aisee kumbe ndo inaitwa tuzi jf kunamisemo nimeijulia humu mf kugegeda, papuchi, dushe nkHahahaha msemo wa kinyumbani unanikumbusha mbali sana.DSM munaita tigo au kinyeo